mavituz ya south beach residency dar es salaam

sina uhakika lakini nyumba hizi anaweza kukaa yeyote ili mradi anaweza kulipa pango au anaweza kununua, nimeikuta hii huko huko likoulizwa swali linafanana na la kwako jibu lilikua hivi
(Even the same type vary because each house has a different owner but generally rent starts from USD 600-1,000 for the 2 bedroom house.)

mwe!!!!!!! kwa hiyo hizi ni nyumba za watu sio (riz1) na wanazikodisha tu sio? duh!! kweli hapa bongo kama wewe ni maskini ni wewe tu na ndugu zako
 
Wee acha ndugu yangu. Niliifungua thread kwa bonge la shauku nikitegemea ntakutana na totoz za ukweli. Badala yake nakutana na vijumba.....hovyo kabisa

Mzee naona umezoea kuona vitu kama hivi huko South Beach ya ukweli sio!.

article-0-0D78C637000005DC-372_634x456.jpg
New home: Tiger Woods is preparing to move into this new mansion in Jupiter, Florida
 
Hehehe tutatoana roho tu hapa!! Kibongo bongo gettin yourself in there lazima uwe kwenye international organization ya nguvu, au mwizi a.k.a fisadi.
Bado ziko available mkuu? Kukodisha?
 
mimi home kwetu ndo hapa bana,hizo nyumba zenu naziona kama mbwembwe tu kwangu . na chama lagu wakishanipa tshirt na kofia mimi naona poa tu . huyu hapa mimi nikiwa mdogo maskani kwetu ,
maISHA+BORA.JPG
 
Mzee naona umezoea kuona vitu kama hivi huko South Beach ya ukweli sio!.

article-0-0D78C637000005DC-372_634x456.jpg
New home: Tiger Woods is preparing to move into this new mansion in Jupiter, Florida

kwa Tanzania maeneo kama haya mtu akipelekwa kununua kiwanja anakwambia polini anabaki kuhangaika na upanga ,masaki n.k, Nawasifu sana waliojenga UDSM ni professional landscaping ingawa ilikuwa enzi za mwalimu
 
Wee acha ndugu yangu. Niliifungua thread kwa bonge la shauku nikitegemea ntakutana na totoz za ukweli. Badala yake nakutana na vijumba.....hovyo kabisa
haha, basi hapo mwandishi kafanikiwa kuivuta hadhira, niliweka picha kuhusu majiji ya afrika mashariki, lilidoda, lakini jana baada ya kuandika mavituz ya souch beach, ndani ya lisaa kulikua na watu kama mia wameshaangalia, ila lile la majiji lilichukua siku mbili na zaidi kufikia watu mia, teh teh.
 
I agree..nimeshawhi kuziona huko Kigamboni. NI KAMPUNI YA KINA NURU NYERERE NA MUME WAKE
 
hawa hawata tuletea mambo yaliyo ua uchumi huko US mwaka 2008 na mabank yakachukua nyumba za watu. nyumba zinaonekana nzuri lakini zimezidishiwa bei hii ni staili nyingine ya ufisadi
 
Hiyo sehemu naifahamu nimefika hapo na karibu nyumba zote nimeingia zilivyokuwa zinajengwa actually nisehemu moja njuri sana na imezungushiwa uzio na kunakamera za kufa mtu kwa ajili ya ulinzi! kiasi kwamba wanakijiji huingii humo hata kuomba maji ya kunywa!
 
Back
Top Bottom