Uzuri au ubaya wa Nyerere siyo mada ya thread hii, inalenga kuimarisha umuhimu wa watu kutumia rekodi sahihi za matukio mbalimbali bila kuyageuza kwa nia ya ama kumsifia au kumdhalilisha mtu yeyote kwa namna yoyote ile.
Thanks Kichuguu. Nimekuwa mara kadhaa nikijiuliza bila majibu, inakuwaje gazeti la watu makini kama Raia mwema kuchapisha makala mbofu mbofu za upotoshaji zinazoandikwa na huyu Mjengwa? Makala zake zinafaa sana kwenye vile vijarida vya Global publishers.