Hayana matatizo yoyote, ila tunataka kuweka rekodi sahihi. Siyo kweli kuwa Nyerere aliiga mavazi hayo kutoka kwa Mao baada ya kutembelea China. Rekodi zilizopo zinaonyesha kuwa alianza kuyavaa mara tu baada ya Muungano, kabla hata hajatangaza Azimio la Arusha 1967.Kwani hayo mavazi yana tatizo gani?
Maneno mengine ya kuiga ya nyerere ni haya: Tanzania haitakuwa huru mpaka Africa nzima iwe huru. Haya ni maneno ya Raisi wa marekani mwaka 1963 JF Kened alipokuwa nawatetea haki za wamarekani weusi. American can not be free not until all black people are free. Halafu maneno kama Nitaona haya kumuonea haya mzebe na mzululaji. Haya aliyakopi kutoka mao Tsedong wakati alipokuwa nawakama kamata wazururaji mijini na kuwafunga mashambani kama watumwa. Jamani mano mtetea nYerer tuambieni ni mafanikio gani kiuchumi katuletea ambayo kamshinda hata kenyatta? utaona hakuna ila yeyey ni jina kubwa Non alignmnet na South South commissio, au siyo?
Sababu ya Nyerere kuvaa chonlai ni hii; (japo sina data kamili) Nyerere alienda Marekani na Uingereza kuwaomba msaada wa ujenzi wa reli ya TAZARA. Wazungu wale wakamzungusha mno mwalimu na kumkatisha tamaa kuwa labda miujiza itokee ndipo hiyo reli ipite huko Nyerere anakotaka. Na ni mradi wa karne. Akaachana na wazungu akaenda china (ya enzi zile). Mao akamwambia hilo linawezekana. Bajeti ikapangwa, wataalam wakatafutwa, kazi ikaanza. Ruti ile ile ambayo wazungu waliikosoa. Sikumbuki ilitumia muda gani lakini ilikamilika. Nyerere akasema kuna haja gani ya kujivika utamaduni wa hawa wakoloni na masuti yao. Akatupa suti kule akaanza kuwaenzi wachina-wajamaa wa ukweli
Labda aliyapenda baada ya kuwaona Makomredi wa kiukweli, akina Abrahaman Babu.Hayana matatizo yoyote, ila tunataka kuweka rekodi sahihi. Siyo kweli kuwa Nyerere aliiga mavazi hayo kutoka kwa Mao baada ya kutembelea China. Rekodi zilizopo zinaonyesha kuwa alianza kuyavaa mara tu baada ya Muungano, kabla hata hajatangaza Azimio la Arusha 1967.
Labda aliyapenda baada ya kuwaona Makomredi wa kiukweli, akina Abrahaman Babu.
Real!?Still u missed the point!!!!
Haya ndio matatizo ya waandika historia wa leo (revisionist); Nyerere ameanza kuzungumza hivyo kabla ya Kennedy kuchaguliwa kuwa Rais, ndio maana tunawaambia msomeni kidogo mtashangaa how far ahead alikuwa yeye.Maneno mengine ya kuiga ya nyerere ni haya: Tanzania haitakuwa huru mpaka Africa nzima iwe huru. Haya ni maneno ya Raisi wa marekani mwaka 1963 JF Kened alipokuwa nawatetea haki za wamarekani weusi. American can not be free not until all black people are free. Halafu maneno kama Nitaona haya kumuonea haya mzebe na mzululaji. Haya aliyakopi kutoka mao Tsedong wakati alipokuwa nawakama kamata wazururaji mijini na kuwafunga mashambani kama watumwa. Jamani mano mtetea nYerer tuambieni ni mafanikio gani kiuchumi katuletea ambayo kamshinda hata kenyatta? utaona hakuna ila yeyey ni jina kubwa Non alignmnet na South South commissio, au siyo?
Hapa kwa kweli hata mimi umenigusa, nilikuwa naamini tangu enzi zile hayo ni maneno originally ya Nyerere. Umejuaje kama Nyerere aliyakopi kutoka kwenye bendi hiyo?Katika hotuba ya Tangazo la Vita dhidi ya Iddi Amin pale Diamond Jubilee Hall kwa mfano, sehemu inayokumbukwa sana ni pale aliposema "Nia tunayo, uwezo tunao, sababu tunayo" etc. Watu wengi wanafikiri haya ni maneno ya Nyerere originally, actually haya ni maneno ya bendi moja ya Kiingereza wakati wa vuguvugu la Uingereza kutaka kuingia vitani dhidi ya Hitler.
Haya ndio matatizo ya waandika historia wa leo (revisionist); Nyerere ameanza kuzungumza hivyo kabla ya Kennedy kuchaguliwa kuwa Rais, ndio maana tunawaambia msomeni kidogo mtashangaa how far ahead alikuwa yeye.
Mimi nilisoma vitabu hivyo pamoja na vile vya kikomunist kutoka China, Korea na Urusi ikiwa ni sehemu ya ya DS100 na DS200 hapo UDSM miaka ya themanini. Ninakuhakikishia kuwa Siasa ni Kilimo siyo kopi ya The Great Leap Forward......
Ukisoma habari zote za "Siasa Ni Kilimo" (how many read these?) halafu ukaangalia "The Great Leap Forward" (that laughingstock of the Chinese) unaona mzee anafuata nyayo zile zile za Mao. But to take this as an example that Nyerere was in the pocket of the Chinese would be a mistake. Nyerere was much more complex than that.
Katika hotuba ya Tangazo la Vita dhidi ya Iddi Amin pale Diamond Jubilee Hall kwa mfano, sehemu inayokumbukwa sana ni pale aliposema "Nia tunayo, uwezo tunao, sababu tunayo" etc. Watu wengi wanafikiri haya ni maneno ya Nyerere originally, actually haya ni maneno ya bendi moja ya Kiingereza wakati wa vuguvugu la Uingereza kutaka kuingia vitani dhidi ya Hitler.
...............
Kuna picha ya Nyerere akiwa na suti isiyo na kola kabla ya February 1965?Kwa hiyo, ingawa hatujui ni lini Nyerere na viongozi wenzake wa Tanzania walianza kuvaa hizo nguo za neckless, ni wazi kuwa alianza kuzitumia kabla au mara tu baada ya Muungano, April 1964 lakini ikiwa kabla hajasafiri kwenda China mwaka 1965.