Mauzo ya Apple nchini China yameshuka kwa asilimia 30, na yanatarajiwa kuendelea kushuka mwaka huu wa 2024

Stress za maisha zinakusumbua, alafu mashoga ndio wanapenda kuita wenzao mashoga. Siku zote mtu mwenye stress za maisha hutukana hovyo watu mitandaoni.
Tafta zero brain wenzio ndio uwape hizo hadithi zako. Huna akili ya kuweza kujadiliana na mimi kwenye jambo lolote.
 
Tafta zero brain wenzio ndio uwape hizo hadithi zako. Huna akili ya kuweza kujadiliana na mimi kwenye jambo lolote.
Daliki moja wapo ya kuchanganyikiwa na maisha na kupigwa na umaskini ni kutukano hovyo watu mitandaoni, inaonesha namna gani ulivyo na matatizo kichwani kwako. Wenzako wanajibu kwa hoja wewe unakimbilia matusi, nakuonea huruma sana sababu inaonesha wazi una matatizo. Either hujalelewa na Baba au wazazi wako walikuwa na shida na umekulia maisha magumu sasa una hasira na kila mtu.
 
Napotaja Quality sina maana ya ku refer lile li housing la nje

Quality nayoisema mimi ni ukubwa wa specifications na ubora wake.

Sasa unatoa mamilioni ya pesa kununua simu halafu unakuja kuwa limited kwenye customization, ndio nini sasa?

Una simu ya milioni 2 halafu ku-download clip ya dakika 2 YouTube ni mpaka uombe tag kwa android user aku downlodie ndio akutumie kwa WhatsApp

Karne hii na tech yote hii eti simu ya 50K inapakua video YouTube lakini iPhone ya milioni mbili haiwezi kupakua video YouTube mpaka uwe na premium subscription?
sio kweli mkuu tuna iphones na hatupat shida ya kupakua video youtube insta na mtandao wowote unaoujua , ambaye hawes pakua ni mgeni wa simu, huitaji kua na app kupakua , mf ukifungua site inaitwa savefromnet, unapaste link yoyote yenye video inapakua hii ni kote ios na android
 
iPhone haikutengenezwa kwa ajili ya matumizi hayo mnayoyataka nyie, kama wewe una shida na hizo customization basi tumia simu yenye uwezo wa kufanya hivyo. Tatizo lenu mnalazimisha kuitumia iPhone vilenavyotaka nyie bila kujua ya kwamba hikutengenezwa kwa ajili hiyo mnayotaka nyie. Na kama wewe hadi leo hii kipimo chako cha ubora wa simu ni customization za vitu vya kijinga visivyo na tija basi bado hujaju nini mtumizi ya simu. Nchi zilizoendelea wanatumia hizi hizi iPhone mnazolalamika kufanyia mambo mengi sana ambayo kwenye nyinyi huku bado ni ndoto.
ni kweli wengi wanao coment hawajawahi shika hiz promax au pro, siku wakimiliki hawatataka kurudi android, hizi simu ni dunia nyingine, na iphone sio ya kila mtu ina class zake
 
ni kweli wengi wanao coment hawajawahi shika hiz promax au pro, siku wakimiliki hawatataka kurudi android, hizi simu ni dunia nyingine, na iphone sio ya kila mtu ina class zake
Usiseme class yake, inakaa kama unamaanisha ni za kundi fulani tu (matajiri au masikini) hapo inakua si sahihi

Hauhitaji kuwa tajiri ili kumiliki simu expensive pia, incase hicho ndio ulikuwa unamaanisha.

iPhone ni kwa ajili ya mtu yoyote Yule aliyevutiwa na iOS
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom