20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 7,970
- 6,761
Aliyeleta matatizo kwenye familia yenu sio uchawi ni mama yako, ndio maana mzee akaona bora ajuvutie kitu kingine atulize mawazo, baada ya kuona mama yako amezidiwa na bi mdogo kila dingi wako nao akiangalia kuanzia mapishi, mwendo wa maringo, kauli safi na usafi ndani ya nyumba kageuzia mapenzi kwa bi mdogo, nyie mnaona limbwata.
Hakuna Limbwata ni mapenzi tu. Hakuna mwanamme anaependa mwanamke mchafu, mwenye maneno ya kukera, asiyetulia kwake, asiyejua kupika. ena mzee mstaarabu angetoa talaka kabisa ajilie vyake kwa amani.
Una uhakika kuwa baba yake amechukua mke mwingine kwa kuw mama yake jamaa hana hayo usemayo ? Waislam wanapoa wake zaid ya mmoja ina maana wote waalio nao wamekosa hayo ?
Inatakiwa ifike muda utumie akili zako binfsi na sio kuangalia upepo na kutoa hoja zinazo kosa heshima wala staha kwa mzazi wa mtu. Wanaume tuna hulka zetu, sometimes tunaamua kufanya vitu na si kwamba tuna sababu za msingi, selfinshnes tunayo. Umeshowa dharau kwa mama wa mwenzio, umesem pumba.