Kama ni Muislam, hakikisha sala zako za faradhi (tano kwa siku) hazikupiti na hakikisha unakuwa udhu saa zote na unapoingia kulala hakikisha una udhu na unasoma Qur'an japo sura tatu ndogo za mwisho kila moja mara tatu.
Mashallaah!!! Huu ni ushauri mzuri wenye busara!! Ila mbona ucku wa manane ulikua unachat tu? Shemeji kasafiri au?