Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
Anamchezea Mungu, mungu hana macho kama baba na mama.....tehe tehe tehe...kuna mahali nimeona anashake boobs tena mwenyewe hadi nikakoma,Ila ndo hivyo ukiongea sana kuwakosoa hawa wengi watakupinga,kuna style ambazo watu hawawezi kucheza mbele za baba au wajomba zao lakini wanamchezea Mungu ukihoji unaambiwa mbona David alicheza hadi nguo zikadondoka.Ulokole wa siku hizi ume adjustiwa ili uwe mrahisi ndo mana mambo mengi yanaacha maswali.
Kama mungu angekuwa anakaa kanisani kweli hawa wange shake boobs mbele yake?