Sabry001
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,064
- 353
Akili zingne bhana! Mnapiga mapicha ya uchi halafu bdae ndo mwaanza kujutia! We kuku mdogo, nafsi inayoteseka, itakayoteseka au itakayoenjoy ni ya kwako, nadhani jibu la jumla uko nalo wewe na majibu ya hapa unayahitaji ili ujiridhishe na uamuzi ulio nao moyoni wa kuthuka au kunyoa! Ila ingekuwa me ndo wewe, ningeendelea nae ila kwa tahadhari manake waweza kuta wewe unatumika kumtia mshkaji wivu may be after some misunderstanding, then bdae wanarudiana we unabaki unalia na roho.