bomouwa
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 1,149
- 797
Jamani mficha maradhi kifo humuumbuaa.. kama kuna mtu anaweza nisaidia kufahamu nini cha kufanya kupata tiba.. maana babbu yangu anamiaka 73 anasumbuliwa na hilo taizo sasa nkampeleka hosptal wakasema ni bacterial infection wakampa dawa zikaisha ila kama bado tatizo analihisi.nani anamfahamu urologist mzuri nipate huduma.?Msaada tafadhali