Maumivu ya Korodani/pumbu, kuvimba kwake na ushauri wa matibabu

Natumaia mu wazima wa afya njema na mnaendelea vyema na weekend hii

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mwenzenu nimekumbwa na tatizo la pumbu kuwa zinauma mara kwa mara hususani pumbu ya kushoto. Nashindwa kuelewa tatizo nini kwani hali hii sas ina kama wiki moja ambapo kuna kipindi zinauma na kuna kipindi zinaacha.

Natumai jukwaa hili lina madaktari na watu wengine wenye uelewa juu ya hili hivyo naomba msaada wenu kwani nateseka sana

Natanguliza shukrani zangu zote.
 
Iliwahi kunitokea.
Moja ya sababu ni uume kusimama kwa mda mrefu.
Dawa yake ni dioxyn hii ni ant biotic utapona ndani ya siku 2.
Sina uwakika kama nime patia spelling za hizo dawa ila ukienda pharmacy watakuelewa
 
Iliwahi kunitokea.
Moja ya sababu ni uume kusimama kwa mda mrefu.
Dawa yake ni dioxyn hii ni ant biotic utapona ndani ya siku 2.
Sina uwakika kama nime patia spelling za hizo dawa ila ukienda pharmacy watakuelewa
Asante mkuu nitajaribu kuitafuta
 
Mm huwa uume ukisimama kwa muda mrefu sana pumbu huwa znauma sana ,,na suluhisho natafuta show fasta ili kutuliza maumivu...but sijajua upande wako may be tumetofautiana
Yani wenzenu ndo mmewageuza madudu ya kutuliza maumivu yenu! Hahahaaaa
 
Hiyo ni ngiri inasababishwa na utumbo mdg kuingia sehemu ya korodani hospitalin hufnya operation lkn zipo dawa za mitishamba huponya tatzo hlo
 
Back
Top Bottom