ossy
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 872
- 143
wakuu nawasalimu,nina sumbuliwa na tatizo la maumivu kwenye korodani zote haswa la kulia na sehemu yote inayozunguka uume baada ya kudo! Nimehudhuria hospital na kupima magonjwa yote ya zinaa nipo vizuri,tatizo hilo limeanza miaka mitatu iliyopita inapelekea nnakosa kabisa hamu ya hilo tendo na kuleta ugonzi na mchumba wangu! Je hili ni tatizo gani? Kuna tiba yake? Nawakilisha wakuu!!