kama uume wako una vidonda au malengelenge utabeba tu...Ki vipi wakati hakuna mchubuko wowote uliotokea? maana uke ni mkubwa na uume ni mdogo
Kwa vile huwezi kupata ukimwi hadi uchubuke wakati wa tendo la ngono, sasa je unaweza kupata ukimwi iwapo uume wako ni mdogo na umekutana na mwanamke mwenye uke mpana? yaani muda wote wewe ni kuogelea (kuelea) tu
Wataalamu naombeni majibu.
Kwenye uume pia kuna kale kamrija kanaitwa urethra, ile tundu panapotokea mkojo, huwa ni teketeke sana pale na pia kamrija kenyewe ni laini sana kwa ndani, vvu vinapitia hapo hata kama hujachubuka.
Kwa vile huwezi kupata ukimwi hadi uchubuke wakati wa tendo la ngono, sasa je unaweza kupata ukimwi iwapo uume wako ni mdogo na umekutana na mwanamke mwenye uke mpana? yaani muda wote wewe ni kuogelea (kuelea) tu
Wataalamu naombeni majibu.
Kwa vile huwezi kupata ukimwi hadi uchubuke wakati wa tendo la ngono, sasa je unaweza kupata ukimwi iwapo uume wako ni mdogo na umekutana na mwanamke mwenye uke mpana? yaani muda wote wewe ni kuogelea (kuelea) tu
Wataalamu naombeni majibu.
Kwa vile huwezi kupata ukimwi hadi uchubuke wakati wa tendo la ngono, sasa je unaweza kupata ukimwi iwapo uume wako ni mdogo na umekutana na mwanamke mwenye uke mpana? yaani muda wote wewe ni kuogelea (kuelea) tu
Wataalamu naombeni majibu.
Hayo ni majibu rahisi kwa maswali magumu....kweli ungekua wewe au baba yako au mama yako ana HIV ungefikiria hivyo??? kwanini usifikirie kama mchangiaji hapo juu alivyo suggest jinsi ya kuwaelimisha wanaotumia ARV wasiambukize wengine? au unafikiri wewe unahaki zaidi ya kuishi kuliko wengine so wasitumie dawa ili wafe wasije wakakuambukiza wewe? sifikiri kama una tania, kwakua huo ndio mtazamo wa watanzania wengi....UBINAFSI......hatutafika bro!!!!Habari wanajf, nimekuwa nikifuatilia kampeni ya serikali yetu katika kupunguza makali ya maambukizi ya virusi vya ukimwi ambapo suala la madawa ya kuongeza maisha kwa waathirika linaonekana muhimu sana. Binafsi haya madawa naona yanaendeleza maambukizo kwa sababu mtu anapoyatumia ananawili kweli hivyo kujikuta anaendeleza kuambukiza wengine. Mimi nilikuwa nashauri haya madawa yasitumike ili tuweze kutambuana kirahisi haya ni mawazo yangu lakini.
Hayo ni majibu rahisi kwa maswali magumu....kweli ungekua wewe au baba yako au mama yako ana HIV ungefikiria hivyo??? kwanini usifikirie kama mchangiaji hapo juu alivyo suggest jinsi ya kuwaelimisha wanaotumia ARV wasiambukize wengine? au unafikiri wewe unahaki zaidi ya kuishi kuliko wengine so wasitumie dawa ili wafe wasije wakakuambukiza wewe? sifikiri kama una tania, kwakua huo ndio mtazamo wa watanzania wengi....UBINAFSI......hatutafika bro!!!!
Habari wanajf, nimekuwa nikifuatilia kampeni ya serikali yetu katika kupunguza makali ya maambukizi ya virusi vya ukimwi ambapo suala la madawa ya kuongeza maisha kwa waathirika linaonekana muhimu sana. Binafsi haya madawa naona yanaendeleza maambukizo kwa sababu mtu anapoyatumia ananawili kweli hivyo kujikuta anaendeleza kuambukiza wengine. Mimi nilikuwa nashauri haya madawa yasitumike ili tuweze kutambuana kirahisi haya ni mawazo yangu lakini.