Wasio na vyeti wanajifariji sanaHuyo nae anatafuta kiki kwa kumsingizia Kiongozi jembe na wenzake.
Makonda oyeeeeeee
Wasio na vyeti wanajifariji sanaHuyo nae anatafuta kiki kwa kumsingizia Kiongozi jembe na wenzake.
Makonda oyeeeeeee
Ungetegemea nini ikiwa zero anamshirikisha zero wakisaidiwa na Zembululaz lenyewe.Bora we useme huu mchezo nilisha ujua sikunyingii namcheka tu kubwa jinga
Gundu linaanza pale umetengeneza ma tshirt yako 1000 ya FreeRoma halafu karudi...
*Utatamani umteke*.
Mtu akipotea watu wengine kwao ni fursa
Mkuu kwani huyo jamaa ni mwanaume?? Haiwezekani, mbona naona picha ya mwanamke Id yake na hata hisi zake pia zaonesha wazi ni mwanamkeWe mwanamke una shida gani unawashwa na nn
Vipi lile la makongoro nyerere na madaraka nyerere umeweza kuwafafanulia wana jf tofauti kati ya watu hawa wawili au bado unajua ni mtu mmoja?Huyo nae anatafuta kiki kwa kumsingizia Kiongozi jembe na wenzake.
Makonda oyeeeeeee
Ukiona umeshindwa kuconnect dots hapo maanake hicho kilichoandikwa kimezidi uwezo wako wa kufikiri. Simple tu.Huyu Mtangazaji naye siku hizi kichwa chake sijui kimekuwaje. Sasa kuna dots gani hapo za kuunganisha? Unawezaje kuacha kufanya kazi zinazoeleweka ushinde kwenye mitandao unawaeleza watu waunganishe dots kwa mambo mepesi mepesi na ya udaku udaku.
Mswahili ni mswahili tu.
Hahaha mkuu acha izo mbaya bana.. maana sio poaSi kwa kwa mahaba haya kuna marinda kweli.......mh.....
Ni juyuYupi aliyepata zero kidato cha nne?
Miaka mingi sana mlimtabiria kupotea kimuziki, ndio kwanzaa anazidi kupaa!!
Hata hili pia litawaumbua, maana hakuna uhusiano kati ya Bashite na Mond, tatizo lenu mnapenda watu wengine wayaishi mawazo yenu...
Aaaah kwani na wewe unapanga hoja? Kama ulishindwa kutofautisha madaraka na makongoro...hahaha sawa wapanga hoja.Ha ha ha haaaaaaaaaa
Acha kumwandikia mwenzako uongo, eti mimi nani!?
Ila le Mutuz nae anajua kupanga hoja, hakurupuki.
Exactly matukio mengi ya Dai na Bashite yamefuatana ndani ya wiki moja
Naomba vituo vya radio/TV & vyombo vya habari vipige kimya kwa Dai na Bashite
Hizo nyimbo zake ampe zari azisikilize
Vipi lile la makongoro nyerere na madaraka nyerere umeweza kuwafafanulia wana jf tofauti kati ya watu hawa wawili au bado unajua ni mtu mmoja?
Hakuna msukuma anaitwa Bashite. Hili jina lina asili ya nchi mbili ndogo ukiziunganisha hazifikii mkoa wa Singida ambazo tumepakana nazo upande wa magharibi. Ndio maana akabadili jina lifanane na wasukuma.bashite mshamba wa kijijini, anatuletea usukuma wake mjini.
Najaribu kufikiria ikiwa mwigulu wangekuwa wanaiva na bashite alafu kuwe na genge hilo oamoja na dikteta uchwara nadhani watz wangebambikiwa sn kesi za ugaidi na madawa na kulevya na hapo hapo imagine taifa halina LISU hata mmojaMtandao wa mafia bashite.