Jack we ndo mke wa mengi salimia mapachaUmejuaje km ni mwanamke?Huenda ni dume kabisa na ndevu zake!
Jack we ndo mke wa mengi salimia mapachaUmejuaje km ni mwanamke?Huenda ni dume kabisa na ndevu zake!
Roma atapatikana kabla ya jumapili. Bashite oyeeeHuyo nae anatafuta kiki kwa kumsingizia Kiongozi jembe na wenzake.
Makonda oyeeeeeee
masogange huyoHivi wewe ni hawara wa Bashite?........Mbona unamtetea sana?
Kama unampenda mpe dada yako, akiwa mundu ndo utaelewa,naona una ukunguHuyo nae anatafuta kiki kwa kumsingizia Kiongozi jembe na wenzake.
Makonda oyeeeeeee
Siku wakipatana sijui inakuajeYaani hapa ndo utaona AJIRA ni utumwa sana. Waajiriwa wa EFM na CLOUDS na wao wamekuwa watu wa KUTUKANA NA KUMRUSHIA VIJEMBE Makonda ili kumfurahisha tu BOSS Wao
Unatamani amtabirie lowassa uraisIjumaa bashite anatabiri kuwa ni lazima wapatikane kabla ya jumapili mhhhhh
Jembe Bashite mzee wa fafafafafa basi wewe mpini km yy jembeHuyo nae anatafuta kiki kwa kumsingizia Kiongozi jembe na wenzake.
Makonda oyeeeeeee
Wanabaki tu kama mazuzu, yaani watu wengi duniani wameshikiwa akili. Mtu anajichomeka kwenye ugomvi ambao hata hajui ulianzajeSiku wakipatana sijui inakuaje
Your days are numbered!!!! You will grit your teeth, what goes round comes around!Huyo nae anatafuta kiki kwa kumsingizia Kiongozi jembe na wenzake.
Makonda oyeeeeeee
Bado hujaolewa?We mshauri wa wema?
Bado we ushavishwa pete mkuuBado hujaolewa?
Bado we ushavishwa pete mkuu
Muda huu angetumia kujisetiri mwili wakeWe mwanamke una shida gani unawashwa na nn
Zero plus zero is equal to ......Exactly matukio mengi ya Dai na Bashite yamefuatana ndani ya wiki moja
Naomba vituo vya radio/TV & vyombo vya habari vipige kimya kwa Dai na Bashite
Hizo nyimbo zake ampe zari azisikilize