kvelia
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 246
- 44
Mfanyakazi wa Bunge, Nicolaus Luther Senge amefariki dunia kwa kupigwa risasi na askari polisi katika tukio ambalo lilisababisha vifo vya watu watatu. Senge (49) alifariki dunia usiku wa kuamkia jana katika mauaji yaliyofanyika kwenye kikao cha wanafamilia Kibaha mkoani Pwani. Wote ni watu wa familia moja kisa ni ugomvi wa ardhi iliyopo huko Singida ambayo huenda hata sii fertile. Jamani kwa hali hii tutafika??????? Ni elimu bado au nini?????