Mauaji ya Padre Zanzibar: Ni kwa nini hukumu ya muuaji imekuwa ni siri na kucheleweshwa?

Honolulu

JF-Expert Member
Jan 20, 2012
5,648
1,724
attachment.php
attachment.php

Ni nini kipo nyuma ya pazia kuhusu hukumu ya huyu muuaji wa Padre huko Zanzibar? Au ndiyo yale ya kusema ni upepo utapita? Hukumu itatolewa lini?
 
Hv unamaanisha nini?mbona haueleweki ! Kesi za CDM huwa zinapelekwa kasi mfano ile kesi ya aina ya Ugaidi kule Tabora umekwenda kasi na laiti kesi zote zingelikuwa zinaenda kasi vile hakika Mlundikano wa Wafungwa Magerezani ungepungua sana Maana Neno njoo kesho Ndio Neno sumu wa kukwamisha Mengi hii Neno njoo kesho yafaa ipigwe marufuku angalau tuuenzi Msemo wa Nyerere usemao linalowezekana Leo lisingoje kesho .
 
Tuiachie mahakama ifanye kazi yake na hatimaye mshtakiwa akikutwa na hatia atanyongwa tu!
 
Tuiachie mahakama ifanye kazi yake na hatimaye mshtakiwa akikutwa na hatia atanyongwa tu!

Na kwani padre yupo yeye tu. Ipo kitu si bure. Waseme ukweli. Aliemshoot yule padre ni mdunguaji mwenye kuijua kazi yake.
 
(A)- Udini ndio unasababisha kucheleweshwa kwa hukumu.
(B)- Hukumu halali inaweza kutolewa kwa huyo Gaidi, endapo itapatikana NGUVU ya kuupinga udini TZ. Kwasasa Udini unazidi kukumbatiwa nchini.
Je unalo swali jingine Ndugu ?....
 
attachment.php
attachment.php

Ni nini kipo nyuma ya pazia kuhusu hukumu ya huyu muuaji wa Padre huko Zanzibar? Au ndiyo yale ya kusema ni upepo utapita? Hukumu itatolewa lini?

allah amesha wapakua ubongo wao! Usishangae na mwingine anaweza kumuonea gere kwa sabahu huyo muuaji amesha ipata pepo ya allah yenye mbuguma wenye makalio ft.40 na gongo! Jamani si mwende uwanja wa fisi mtapata na zianada bila kuua mtu? Hii ilimu islam ni mtihani humu duniani!
 
Kwa udini ulioko zenji sidhani kama hukumu itakaa itoke. Mfuatiliaji atakuwa nani? Baba askofu wake hathubutu kwani naye roho mkononi. Wa kufa kesha tangulia, uliye hai tunza roho yako. Wanasahau kwamba, nafsi ya mtu ni mali ya Mungu. Mungu atakudai hiyo nafsi uliyoidhulumu uhai wake.
Nasima msidanganyike, Mungu aliyeumba hawezi kusaidiwa na kichaa kuutoa uhai wa mwingine> Mbingu mtaisikia tuuu. Okokeni leo.
 
Hii haijawahi hata kusikika. Ndo mtindo wa Zanzibar na mauaji yaliyoruhusiwa na wakuu. Kulikuwa na mtindo pia wa utekaji wa watoto wa kikristo, ukiongozwa na viongozi wa serikali, na kuwalazimisha kuingia uislamu.
 
Kiukweli hata namna kesi zinavyoendeshwa zinapaswa kuwekwa wazi sababu zinakuwa na public interest.

Hata kesi kama za wale wlioua wake zao mfano yule wa TRA zioneshwe ili jamii ifuatilie na kuridhika na kile kina hoendelea kwa haki.

Kwanini kunakuwa na vificho?

Haijulikani kama wamekamatwa kweli?

Je kina endelea nini?

Kuna faida kubwa sana ya kuonesha ili iwe fundisho kwa jamii iweze kuepuka kufanya makosa kama hayo.
 
Hii haijawahi hata kusikika. Ndo mtindo wa Zanzibar na mauaji yaliyoruhusiwa na wakuu. Kulikuwa na mtindo pia wa utekaji wa watoto wa kikristo, ukiongozwa na viongozi wa serikali, na kuwalazimisha kuingia uislamu.
Toa ushahidi

No facts no story
 
Back
Top Bottom