Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
- Thread starter
- #21
hapo penye kupima hapo......!utawakosa wanaume wengi sanaNafikiri elimu ya kuvaa condom bado haijakomaa kwa wengi.....
wanaume wengi wana fikra ya kuwa nikivaa sita enjoy -ladha itakuwa tofauti (it might be true to some extent lakini kweli ladha ina kipa umbele kuliko maisha yako?) na ukizingatia wanwake hawawalazimishi wanaume kuvaa, ndo unakuta panaharibika kabisa.
na hilo suala la mkishakuwa pamoja kwa mwezi mmoja unasema unamuamini na unasahau kabisa kuhusu condom.......kabla hujamuamini moja kwa moja, hebu fataneni angaza mkapime kwanza