Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,640
- 697,940
Unaweza kuchanganya na mafuta ya mzeituniIli ifanye kazi vzuri inahtaji mchanganyiko wowote na upi?
Unaweza kuchanganya na mafuta ya mzeituniIli ifanye kazi vzuri inahtaji mchanganyiko wowote na upi?
Asante sanaUnaweza kuchanganya na mafuta ya mzeituni
Au ukinyooshea kidole makaburi kinakatikaDuh! Hii itakuwa kati ya zile zile zetu wabongo. Nakumbuka nikiwa chalii, tulikuwa tunaambiwa ukikutana na kinyonga unajitemea mate kiaina mwili mzima ili kuzuia asichukue rangi yako. Sikumbuki kama ilikuwa inafanya kazi.
Yaaani! Nimejikuta nacheka, mbavu sinaHii ni kweli usije ombea chumvi iue halafu ukaimwage kwenye bishara yako, utaua biashara yako
Inategemea unataka chumvi kwa kitu gani,
Kwakuongezea kuna sehemu ukienda kununua chumvi dukani usiku ukisema naomba Chumvi hawakuuzii mpaka useme naomba Dawa ya jiko au Mkubwa wa jiko sijui sababu yake ni nini?
Halafu pia huwezi kunuia kwa kuichoma chumvi halafu itende mema
Ni sahihi lakini maranyingi kuna nguvu hasi kidogo kwakuwa moto ni kifo sio uhaiHapa sijakuelewa mkuu, kwenye kurasa za mwanzo kuna wachangiaji wamesema chumvi ukiichoma halafu na manuizi inakuwa inaleta matokeo mazuri!
Ni sahihi lakini maranyingi kuna nguvu hasi kidogo kwakuwa moto ni kifo sio uhai
tulishawahi kuua bar fulani hivi yan ilikuwa mashoga wanakutana hapoYaaani! Nimejikuta nacheka, mbavu sina
Effects zake zinafanya kazi na manuizi husikaBasi tuelekezwe isichomwe kabisa maana naamini kuna raia wamechoma nami nikiwa mhanga!
Chumvi kwa kweli inamiujiza mingi sana , hasa chumvi ya mawe. Mfano kwangu mimi nilikuwa na eneo langu nauza kwa muda mrefu madalali walichemsha , nikaamua kununua chumvi ya mawe na kuimwaga katika pembe 4 za eneo na katikati ( eneo lenyewe lipo uswahilini) next day akatokea mnunuzi na kulinunua .Halafu pia huwezi kunuia kwa kuichoma chumvi halafu itende mema
Mhhh bar gan aiseee?,sababu hapa Arusha kulikuwa na club moja ilivuma sana 2014 ilikuwa ya shoga na ndio ilikuwa makutano yako,ilikuja kuzorota ghafla jamaa wakaiachia ila kila aliekuja kufungua biashara hamna,huwa naamini wale walisababisha pale pakalaaniwatulishawahi kuua bar fulani hivi yan ilikuwa mashoga wanakutana hapo
Dada divine nimeku pm naomba uangalieHii ni kweli usije ombea chumvi iue halafu ukaimwage kwenye bishara yako, utaua biashara yako
Inategemea unataka chumvi kwa kitu gani,
Cheki kwenye masoko huwezi kosaKwa hapa Dar chumvi ya mawe napata wapi?
Siku hizi na yeye huyo punguani mwengine eti na yeye anajiita "Dr." MziziMkavu.
Nilimuuliza huo u "Doctor" kaupatapataje? hajajibu hadi leo hii.
Maajabu ya ChunviChumvi kwa kweli inamiujiza mingi sana , hasa chumvi ya mawe. Mfano kwangu mimi nilikuwa na eneo langu nauza kwa muda mrefu madalali walichemsha , nikaamua kununua chumvi ya mawe na kuimwaga katika pembe 4 za eneo na katikati ( eneo lenyewe lipo uswahilini) next day akatokea mnunuzi na kulinunua .
Mstari gani Yesu alitumia chumvi???Ni kweli kabisa na hata bwana Yesu aliitumia sana kutakasa lakini maranyingi ni chumvi ya mabonge