Kima mdogo
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 303
- 46
umekosea ni ccm si chademaHaingii akilini Chadema ni lazima mfike pahala mjue amani yetu ni mhimu kuliko ujanja mnaofanya wa kumwagia watu tindikali!
umekosea ni ccm si chademaHaingii akilini Chadema ni lazima mfike pahala mjue amani yetu ni mhimu kuliko ujanja mnaofanya wa kumwagia watu tindikali!
inawezekana, kwani wajita wanaongoza nadhani kwa kuwa na roho mbaya. Ubinadamu kwao ni kidogo mno. Kama upo ofisini, linganisha tabia za mjita na makabila mengine utayajua hayo
Leo ratiba ya kuchoma inasemaje wapi...mwandishi wa gazeti ameshamaliza kuandika habari yake anasubiri jina tu la sehemu na mtaa habari itoke hewani.Haingii akilini Chadema ni lazima mfike pahala mjue amani yetu ni mhimu kuliko ujanja mnaofanya wa kumwagia watu tindikali!
Kwani humjui huyo John Marwa ni wale wachahe waliobaki kwenda na CCM kaburini.umekosea ni ccm si chadema
unawapaka matope wajita, kila kabila lina watu wema na wabaya, ukweli ni kuwa mkama anatumia mikakati ya zamani sana ya kipindi cha vita baridi, akajifunze ujasusi wa karne ya 21inawezekana, kwani wajita wanaongoza nadhani kwa kuwa na roho mbaya. Ubinadamu kwao ni kidogo mno. Kama upo ofisini, linganisha tabia za mjita na makabila mengine utayajua hayo
Watanzania tuwe makini nadhani Tanzania hatujafikia siasa zenye propaganda za aina hiyo, hapa CHADEMA mnatudanganya kama nanyi hiyo ni propaganda yenu basi mmeishiwa yaani watu wanaumizwa na wengine kupoteza mali zao , bado mnasema ni ccm. Nadhani wana Igunga wanaujua ukweli tusubiri waamue. Watanzania tusimame kwenye ukweli tuache itikadi za vyama.Matukio haya kuchoma nyumba,kumwagia watu tindikali imebainika yanapangwa na katibu mkuu wa CCM Wilson Mkama ili kuipa CDM taswira Mbaya mbele ya jamii , wanayapanga wao wenyewe CCM chini ya uratibu wa Mkama akishirikiana na komba kama ni kuchomanyumba wameichoma wenyewe ni mpango wao huo
Tuhuma za tindikali zinazoelekezwa kwa Chadema ni mipango iliyosukwa makusudi na CCM na kwamba kama ni watu wenye tindikali, basi CCM ndiyo walionazo.Propaganda hizi zilizopitwa na Wakati anazotumia Mkama haziwapendezi viongozi wa CCM Mkoa, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Wakasubi na Katibu wa CCM Mkoa Ahmed wamenukuliwa wakisema Mukana anawaaribia ''Tatizo la mkama anatumia propaganda za kizamama as if bado tupo kwenye siasa za kijamaa''
Nnachoipendea ccm ni kwamba ujinga wao wanaufanya hadharani wala hawajifichi....
Bendela ya ccm ina alama kama
1. Panga
2. Nyundo
3. Jembe
Na silaha nyingine zisizoonekana...sidhani kama watanzania tutapona
Dawa yake huyu ni kumwagia Tindikali kwenye Masaburi yake tu halafu ashindwe kwenda .....
Hali inatisha kweli,kumbe ndio mpango wao ili Cdm ionekane vibaya machoni kwa waTz,hakika Mungu asimamie hili jambo na wote wenye mpango huu ambao ni Ccm Mungu asaidie kutuonesha huu uhuni wao
BG UP kaka Utanzania mbele U-CHADEMA na U-CCM baadayeKama yaliyoko hapa ni kweli basi chama chochote kinachotumia mbinu chafu kama hizi hakipaswi kuachwa kuendelea na mipango michafu kama hii.
Nawahimiza yeyote mwenye ukweli hata kama chama kilichoyatenda haya ni chake atoe taarifa kwani hii ni mbinu iliyopitiliza kwa ubaya.
<BR><BR>Vidole viwili vya CHADEMA vina maana gani? je ni wachomoaji kwenye mifuko ya watu? au wanadhaminiwa na kundi la FREEMASONY? tuelezane manake wengine hatuna hata VYAMA tujuzane wakubwa hapa ndo pa kueleweshana.Nnachoipendea ccm ni kwamba ujinga wao wanaufanya hadharani wala hawajifichi....<BR>Bendela ya ccm ina alama kama<BR>1. Panga<BR>2. Nyundo<BR>3. Jembe<BR>Na silaha nyingine zisizoonekana...sidhani kama watanzania tutapona
vidole viwili vya chadema vina maana gani? Je ni wachomoaji kwenye mifuko ya watu? Au wanadhaminiwa na kundi la freemasony? Tuelezane manake wengine hatuna hata vyama tujuzane wakubwa hapa ndo pa kueleweshana.