Rekebisha Kiswahili kidogo Mpwa...tumia hata mipira au goroli au mengine...hilo neno kali kidogo...ushauri tu
2. Msafara wake kuzuiwa barabarani Mbeya ili wananchi watoe kero ya kujengewa soko na pia kero ya matuta bara barani
3. Kuruhusu binti yake kuchezwa ngoma
5. Kuzuiwa kumpa mama wa Kwanza ashike Kombe la dunia la FIFA uwanja wa Taifa
6. Kudanganywa ujenzi wa Daraja mto Ruvuma (Tanzania - Msumbiji) kuwa limekamilika wakati bado, na kujaribu kumpandisha kwenye ki-boat.
Hapana, mtazamo wako haumtendei haki JK hata kidogo. Kuchekiwa afya mara kwa mara kamwe hakumaanishi kwamba anayechekiwa hawezi kuugua ghafla. Kwa hiyo mimi nikiugua ghafla ni nani anapata aibu; mimi ninyeugua, dokta wangu, au watu wanaoniona nikikimbizwa kwenda hospitali?
Mkuu sio kweli kwamba ingekuwa katika nchi zilizoendelea dokta au msaidizi wake angeachichwa kazi. Kama ndio hivyo madktari wa watu binafsi USA, UK na Canada wangekuwa wanafukuzwa kazi kila kukicha mana kila siku watu wenye madaktari wao wanapata shinikizo la damu na strokes, wengine wanadondoka, wengine wanapata mshituko wa moyo wakiwa wanaendesha n.k. Sasa hapa sijui aibu anapata nani? JK kadhalilika kwa mengi yakiwemo hayo 8 uliyoyataja, ila hili la kuugua ghafla kwa kweli nimefaulu kushawishika bila mafanikio.
Na hili la Leo la Kusaini Muswada wa Sheria huku alijua makosa yaliyomo nadhani ni tukio la Kumi la kumdhalilisha Rais Kikwete.
Walioenda kula askirimu ikulu wakati wewe unakula miwa kwenu huko sijui kivomero, ndio waliodhalilika.... kawapuuza, hamna maana.Na hili la Leo la Kusaini Muswada wa Sheria huku alijua makosa yaliyomo nadhani ni tukio la Kumi la kumdhalilisha Rais Kikwete.
acha ujinga mbwiga wewe!hayo madudu yote bado unatetea ujinga na hayo yote ni yale aliyotoke adharani je yale ya ndani kwa ndani?Ndio tatizo la wabunge wa viti maalum hakuna kazi ya kufanya (kazi kula hela za wananchi bure) ..
Hivi hauna kazi za ubunge ambazo zitawasaidia kilombero..kuliko kuandika upupu..
Ungekuwa unaandika projects za kutafuta pesa kwa ajili ya kumsaidia Slaa na chadema kushinda kuliko kuhangaika na JK
JK yuko mbali sana..uwezo wake, mtabakia na majungu na mambo madogo madogo kafanya hivi vile..
Lakini kwenye macro economic za nchi amewapiku ma presidaa wote wa Tanzania..
Walioenda kula askirimu ikulu wakati wewe unakula miwa kwenu huko sijui kivomero, ndio waliodhalilika.... kawapuuza, hamna maana.
Kama nazi.... mbata!:A S 109:
Kama kuku.... kishingo!:msela:
acha ujinga mbwiga wewe!hayo madudu yote bado unatetea ujinga na hayo yote ni yale aliyotoke adharani je yale ya ndani kwa ndani?
Mijitu mingine bwana sijui inaishije
Ndio tatizo la wabunge wa viti maalum hakuna kazi ya kufanya (kazi kula hela za wananchi bure) ..
Hivi hauna kazi za ubunge ambazo zitawasaidia kilombero..kuliko kuandika upupu..
Ungekuwa unaandika projects za kutafuta pesa kwa ajili ya kumsaidia Slaa na chadema kushinda kuliko kuhangaika na JK
JK yuko mbali sana..uwezo wake, mtabakia na majungu na mambo madogo madogo kafanya hivi vile..
Lakini kwenye macro economic za nchi amewapiku ma presidaa wote wa Tanzania..
Ndio tatizo la wabunge wa viti maalum hakuna kazi ya kufanya (kazi kula hela za wananchi bure) ..
Hii itakua imakuuma sana,je zile walizokua wanagawana akina Jairo ni hela au kokoto?
Acha maneno ya koras za taarabu
Sasa ndio unalia?my message sent and am happy for that. Ubunge wa Vitamaalum ni wangu na Kama unaamini kuwa nakula bure hela za Wananchi basi nakupa pole sana kwa wivu unaokusumbua.Nitaendelea kuzila hizo hela mpaka 2015 kama Mwenyezi MUNGU ataniweka hai.Halafu tamu ile mbaya.
Wenyewivu wajinyonge.