Mattaka the new NIC Director

NgomaNzito

JF-Expert Member
Jan 10, 2008
559
26
Tetesi zilizopo muda huu ni kuwa mkulu kampa Mataka fupa la NIC news of appointment to follow soon!!!
 
Tetesi zilizopo muda huu ni kuwa mkulu kampa Mataka fupa la NIC news of appointment to follow soon!!!

Watu tuliyatarajia haya, na ma member wengi wa JF walitarajia haya kutokea, Hivi huu mchezo wakupeana madaraka kirafiki na kama karanga utaisha lini, inasikitisha sana.

Haya madaraka ya kupeana in exchange na kurudishiana fadhira yanatupeleka pabaya.
 
Itakuwa kali ya mwaka. "Haribu hapa utapelekwa na pale pia ukaharibu."
 
Mzee Mataka, Nenda kafanye kazi. Nenda uifufue NIC na uonyeshe kuwa unao uwezo na hukupewa cheo hicho kwa urafiki.

Ukishindwa mfuate mkuu wa nchi akupatie pengine. Kila la kheri mzee, ma super managers wa siku hizi mpo wachache sana, maana wasomi Tanzania wanazidi kupungua kila kukicha!.

Kila la kheri!

FP
 
Hilo linajulikana, hata yeye mwenyewe keshasema ni tetesi. Hujasema jipya hapo.
 
JK analipa fadhila sijui alimsaidia nini huko Kibaha Sec...au alimpa desa akafaulu/manaa naona this is toooo much.sababu alipelekwa USA for 2 yrs kusomea insuarance ndio hawataki kumuacha??mbona kuna wataalam waliobobea sana kwenye hayo masuala hata hawaonwi??huu urafiki huuu una mashaka....au kuna imani na dini yao wanayoijua wanaabudu wote na wamekula kiapo kuwa hawataachana ???dini gani hiyo?au wanaabudu nini??au wanapenda nini ambacho kinawafanya wawe common???nauliza tuu ni swali tuu......ni mawazo tuu
 
JK aliagiza watu wamfanyiye tathmini ya ATCL kwa kipindi cha muda fulani,na pamoja na mapendekezo aliyopewa ndani ya tathmini hiyo ni 'Kuondolewa' kwa bw.Mataka kabla ya mwisho wa mwezi April,na siyo 'kuhamishwa'.
 
Huwa ni kawaida kujadili mada tetesi as long as wote tunajua kwamba sio hakika - na haijawekwa kama ni hakika. Anaeswalisha mjadala wa mada tetesi na yeye ni mkufunzi kinara wa kuleta mada tetesi.

Nadhani tuendelee kuijadili based on uelewa kwamba ni tetesi.
 
Last edited by a moderator:
Huwa ni kawaida kujadili mada tetesi as long as wote tunajua kwamba sio hakika - na haijawekwa kama ni hakika. Anaeswalisha mjadala wa mada tetesi na yeye ni mkufunzi kinara wa kuleta mada tetesi.

Nadhani tuendelee kuijadili based uelewa kwamba ni tetesi.

unarudia kusema kitu ambacho unakisema, na haya marudio kwa kweli hayaongezi hoja uliyokwisha kutoa kwa hiyo ni marudio yasiyo ya lazima. Hata hivyo ukilinganisha habari "tetezi" zinazotolewa na huyo unayemuita "kinawa wa kuleta mada tetesi" utashangaa uhakika wake unakaribia asilimia 99!

Hivyo tetesi mara nyingi huishia kuwa ni ukweli, so sipuuzi tetezi ya habari hizi.
 
Mpita njia, mmeshahakikisha kuwa kweli amepewa UMD wa NIC?

Sijathibitisha na niliamua makusudi kuachana na kuthibitisha hili kwa sababu niliona kuwa itakwa sawa na kumpigia mbuzi gitaa. Wana mahali pa kujificha katika hili, si lazima sana wasikilize maneno ya watu, wana sababu za kuhalalisha matendo yao, sababu ambazo zipo backed na sheria. Kikwete, kwa mamlaka aliyonayo ana uhuru wa kumteua Mattaka kwenye nafasi hiyo. Kama angetaka kufanya hivyo, angeshafanya, na akitaka kufanya atafanya
 
Hivi kwa nini rais ateue ma-director wote kuanzia wa mashirika ya umma, mikoa, wilaya you name it!! Hivi huu ujima utatuisha lini??
 
Itakapothibitika kuwa si tetesi tena bali ni ukweli,basi mjue nchi ishauzwa!! Katika maamuzi ambayo muungwana ameyafanya ambayo hayana busara hata chembe hili litakuwa mojawapo.
 
Katiba inampa mamlaka hayo

Mpita Njia heshima mbele mkulu,

kwanini serikali wasitangaze position kama hizi kwenye vyombo vya habari, then watanzania wenye vigezo watume maombi (CVs), na baada ya hapo wa subcontact kampuni kama PWC au Deloitte and T wawafanyie usaili na ku-short list majina kama matatu ili serikali wachague mtu wanayemtaka, tatizo liko wapi?..mimi nadhani kuna watanzania wengi tuu ambao wanauwezo wa kazi kama hizi.

MJ
 
Hii inaonyesha JK haangalii jamii inasemaje juu ya uovu wa watendaji wake
 
Back
Top Bottom