Mattaka the new NIC Director

-Hivi wakati ATCL inaungana na Alliance Air ya kina Dr. Gedeon Kaunda Mattaka alikuwa ATC?
-Wakati ATC inauzwa kwa mara ya kwanza na ya pili kwa makaburu, Mattaka alikuwa ATC?
-Wakati mali za ATC zinabinafsishwa Mataka alikuwa ATC?
Kama Mattaka ndio anawajibika kwa kuliua shirika la ATC, nini mchango wa PSRC, TIC na baraza zima la mawaziri walioleta wawekezaji njiwa kuruka South? Kama Mattaka anawajibika na kufa kwa ATCL ni nani anawajibika kwa kufa, kuchechemea au kudumaa kwa mashirika yote mengine yaliyokuwa chini ya serikali?. Kufikia hapo, naamini kuna watu, watafaidika kuondolewa kwa Mattaka ATCL, lakini hilo haliwezi kunishawishi kuwa kuondoka kwa Mattaka ATCL ni suluhisho kwa matatizo ya ATCL; na utendaji wake ni mbovu kulinganisha na wakurugenzi wengine watendaji wa mashirika yaliyo chini ya serikali.
 
Dont speak for all of us..wengine tunataka kurudi..serikali iwe na hr departments zenye uwezo na zenye kujua shule za ukweli huku nje na waruhusu tutume cv waone kama wote hatujarudi!
System ndo inatupa mawazo ya kubaki huku.
Mkulu Kapinga
Heshima mbele
Kurudi wewe si rahisi.Nasikia mchuzi unaopokea huko mzee ni mrefu si mchezo, teh..teh..
 
-Hivi wakati ATCL inaungana na Alliance Air ya kina Dr. Gedeon Kaunda Mattaka alikuwa ATC?
-Wakati ATC inauzwa kwa mara ya kwanza na ya pili kwa makaburu, Mattaka alikuwa ATC?
-Wakati mali za ATC zinabinafsishwa Mataka alikuwa ATC?
Kama Mattaka ndio anawajibika kwa kuliua shirika la ATC, nini mchango wa PSRC, TIC na baraza zima la mawaziri walioleta wawekezaji njiwa kuruka South? Kama Mattaka anawajibika na kufa kwa ATCL ni nani anawajibika kwa kufa, kuchechemea au kudumaa kwa mashirika yote mengine yaliyokuwa chini ya serikali?. Kufikia hapo, naamini kuna watu, watafaidika kuondolewa kwa Mattaka ATCL, lakini hilo haliwezi kunishawishi kuwa kuondoka kwa Mattaka ATCL ni suluhisho kwa matatizo ya ATCL; na utendaji wake ni mbovu kulinganisha na wakurugenzi wengine watendaji wa mashirika yaliyo chini ya serikali.
Halafu wewe huwa unazungumza maneno ya maana.
Good Analysis.
 
Mkuu hi si kweli.
Unamaana hakuna wasomi hapa nyumbani? Mbona wengi tu.

Ni kweli wasomi wa majina (Dr...) wapo, lakini vilaza ni wengi katika hilo kundi unalodai, kuliko wasomi.

Wasomi wengi ambao wako kwenye nafasi za maamuzi digrii zao zinatokana na vyuo vinavyotiliwa mashaka kama PWU ambacho ni unaccredited university. Kumnukuu mzee Moshi Augustine, kuhusiana na vyuo kama PWU, gazeti moja la Marekani, Pacific Business News limeandika "In the academic world it's just about as useless as it can be." Unaweza kuipata habari nzima hapa,
http://quackfiles.blogspot.com/2005/...es-boffin.htm

Mzee Moshi alipendekeza hatua za kuchukua ili tuwe na jeuri ya kusema tunao wasomi:

(1) Wale ambao wametoa vyeti kutoka PWU na "diploma mills" nyingine, wafutiwe hizo digrii kwenye CV zao. NI CV CHEATS. Wasifukuzwe kazi, kwani waajiri nao wana udhaifu; walipashwa kuchunguza hivyo "vyuo" kabla ya kuzikubali hizo CV. Waendelee na kazi kwa kutegemea vyeti vyao vingine, mradi viwe vinaridhisha.

(2) Mwajiri ambaye hana uwezo wa kuhakiki usahihi wa digrii anazopewa kwenye CV, awe na uwezekano wa kuzituma kwenye Baraza la Vyuo Vikuu kuhakikiwa (at a fee). Hili baraza liwe na wasomi wa kufanya uchunguzi unaotakiwa, na kutoa ripoti ambayo inajadliwa na kikao rasmi cha baraza, ambacho ndicho kitatoa uamuzi wa mwisho.

Sasa kusema tuna wasomi, wakati hatuna chujio la kuwatolea wababaishaji, inanitia mashaka, na inanitia mashaka kuwa na kiburi cha kusema wasomi wapo wengi tu, wakati vyuo havina wataalam na in desperation, hata wenye vyeti feki wanakula ajira na hakuna jitihada za makusudi kuwaondoa kwanza.
 
Hayo ndo mambo ya ushoga.Mataka kaiua ATCL sasa anaenda kuifufua NIC?kama kweli ana uwezo mbona alishindwa kuwasafirisha waislam kwenda hija?Inawezekana huko NIC kuna hela zimekaa kaa vibaya wanataka wazitumie kwenye uchaguzi 2010 kupitia kwa mataka.This is purerly commedian.

-Hivi wakati ATCL inaungana na Alliance Air ya kina Dr. Gedeon Kaunda Mattaka alikuwa ATC?
-Wakati ATC inauzwa kwa mara ya kwanza na ya pili kwa makaburu, Mattaka alikuwa ATC?
-Wakati mali za ATC zinabinafsishwa Mataka alikuwa ATC?
Kama Mattaka ndio anawajibika kwa kuliua shirika la ATC, nini mchango wa PSRC, TIC na baraza zima la mawaziri walioleta wawekezaji njiwa kuruka South? Kama Mattaka anawajibika na kufa kwa ATCL ni nani anawajibika kwa kufa, kuchechemea au kudumaa kwa mashirika yote mengine yaliyokuwa chini ya serikali?. Kufikia hapo, naamini kuna watu, watafaidika kuondolewa kwa Mattaka ATCL, lakini hilo haliwezi kunishawishi kuwa kuondoka kwa Mattaka ATCL ni suluhisho kwa matatizo ya ATCL; na utendaji wake ni mbovu kulinganisha na wakurugenzi wengine watendaji wa mashirika yaliyo chini ya serikali.
 
Mkuu hi si kweli.
Unamaana hakuna wasomi hapa nyumbani? Mbona wengi tu.


Kuwa msomi na kuwa na uwezo wa kuwa MD wa shirika kama NIC ni vitu viwili tofauti. Wasomi waliopo nyumbani hawana matatizo ila wengi wao ndio hao hao wakika Mataka, Dr Rashid, Mzee wa Vijisent na kadhalika...wamelelewa na kukulia kwenye system hiyo hiyo wanayoikumbatia. Wasomi wengi wenye mawazo na uzoefu tofauti hawapo Tanzania...mfano mdogo ni Prof Ndulu wa BoT...wapo wengine wengi. Kusema hivyo sina maana kuwa wote waliopo nje ya Tanzania nao ni waadilifu ni kina Marehemu Dr Balali, Prof Mbilinyi n.k
 
Mkulu Kapinga
Heshima mbele
Kurudi wewe si rahisi.Nasikia mchuzi unaopokea huko mzee ni mrefu si mchezo, teh..teh..


Hivi kuamua kurudi au kutokurudi nyumbani inategemea na hela peke yake..??!! Mwacheni Rais aendlee kuwateua hao hao kina Mataka..!!
 
Dont speak for all of us..wengine tunataka kurudi..serikali iwe na hr departments zenye uwezo na zenye kujua shule za ukweli huku nje na waruhusu tutume cv waone kama wote hatujarudi!
System ndo inatupa mawazo ya kubaki huku.


Kapinga,

Naamini una elimu ya kutosha kuelewa kuwa haya unayasema hayana mantiki yoyote. Ungekuwa unataka kweli kurudi nyumbani usingeongea haya..!!

Ila nimependa ushauri wako, i can't speak for all.
 
Kapinga,

Naamini una elimu ya kutosha kuelewa kuwa haya unayasema hayana mantiki yoyote. Ungekuwa unataka kweli kurudi nyumbani usingeongea haya..!!

Ila nimependa ushauri wako, i can't speak for all.

Heshima mzee,
you spoke in general and i gave you MY reason to go back, simple and clear. I believe we all have all sorts of reasons to return or not to. From personal to financial to political.
 
Mkulu Kapinga
Heshima mbele
Kurudi wewe si rahisi.Nasikia mchuzi unaopokea huko mzee ni mrefu si mchezo, teh..teh..

??? Unasikia? jibu hoja mheshimiwa. If you dont have something to say sio lazma kuandika mkuu.
 
Bonny, you are damn right, tatizo sio Mataka bali ni mfumo! Nyerere had this beautiful saying, the 'new international economic order' which was sort of an imposed system to the third world countries. We all have seen how we never called for the tunes (neo-liberalism) but how we have played to the tunes even outpacing those who called the tunes. With or without HE BWM, we would have privatised all the public corporations and we will have constructed the roads as acclaimed by Mkapa. Mataka is only a small nut in the system, obviously by recying him raises a number of questions which members are already debating about. Hopefully Mkulu will see to it that he appoints fresh blood if anything to steer the ship to safer grounds. But down with Matakas!
 
Mnasahau kitu kimoja kuwa Muungwana ni mwanasiasa na kwamwasiasa yeyote akiwa wa CUF, CHADEMA AU hata TLP, loyalty is more important than competence!! Hahahaaaaaaaaaaaa!!! Huoni hata yule DC aliyemsifu Mnali kuwa ni shujaa kwa kuwacharaza viboko walimu muungwana amemuachia uDC wake pale Maswa!!!
 
Pleaaaaaaase give me a break!!! Tunapoamua kujadili jambo hapa hata kama ni tetesi ni lazima tufikirie sana katika majibu yetu ili tusiwe bias. Ninataka wote muelewe kuwa nina uchungu sana na nchi yangu hii ambayo tulishaanza kupoteza mwelekeo kiuchumi na kirasilimali pale ambapo wanaotuwakilisha waliamua kwa kupiga makofi makubwa kuwa tuuze mashirika ya umma, mengine tubinafsishe, mengine eti joint venture and so on. Wakati hao wenye madaraka waliamua hivyo walijua fika madhara yake ila tu kwa kuwa walijua either watanunua au kuingia ubia na the so called wawekezaji au atapata 90% ya thamani halisi ya rasilimali halafu iliyobaki uuzwe kwa 5% price ya bei ya soko!!!

Hilo nisemalo limefanyika kwa mashirika na rasilimali zote ambazo serikali ilisema eti haifanyi biashara so ina privatise wakati ilikuwa haijaandaa wataalam kwa zoezi hilo na watanzania hawakuwa wamewezeshwa kuweza kupokea mashirika yao na rasilimali zao, matokeo yake mali zetu zilianguka mikononi mwa mafisadi wachache, na ndiyo maana kwa data za sasa uchumi wa Tz asilimia 90% inamilikiwa na asilimia 10% ya either wageni au Tanzanians origins (nikiweka wazawa na wale wa kiasia) asilimia 10% ya uchumi (iliyobaki) inamilikiwa na asilimia 90% ya watanzania walala hoi (mimi nikiwemo). Kwa taarifa ni kwamba sehemu kubwa ya nchi imeshauzwa, kizazi chako na changu cha kwanza hadi cha nne kitakuwa wakimbizi ndani ya nchi, the situation will be worse than the former South Africa with the Apartheid!!!!

Tuelewe kuwa wakatia David Mattaka anakabidhiwa ATCL tayari shirika lilishafilisika na tayari Wa south walishaanza kutuyumbisha na mwishowe mkataba ulivujwa. Na kwa sababu kitengo cha Mwanasheria Mkuu au Tanzania hakuna wataalam au tuseme wapo ila hawako makini kuchambua issues then ule mkataba baada ya kuvunja ilibidi ule kwetu Tanzania, yaani sijui nikasome sheria leo au nifanyeje?? Na kikisoma watanichukua au ni kubebana kama desturi?? Jamani tunahitaji kuungana zaidi ya hapa JF tuje na kampango ka kuinusuru hii nchi. Hivyo basi, huyu Mattaka personally simfahamu, kama ana mapungufu yake it is ok kama binadamu (mimi huwa nasikia hadithi za mapungufu yake hasa akiwa pale PPF) ila hastahili kuambiwa kuwa amehusika kuiua ATCL. Alipelekwa ATCL wakati imeshakuwa marehemu na kwa kuwa marehemu huyo alikuwa ameshaoza toka siku nyingi haikuwa rahisi kufufua mifupa!!! Kwa kuwa basi hatuwezi kufufua mifupa then hatuna budi kuzaa ATCL mpya kabisa.

Kwa upande wa Insurance, huenda akaweza kuifufua ila tena nina wasiwasi kama nayo ilishakuwa marehemu siku nyingi na sielewi kama ataweza kufufua mifupa. So tunahitaji reforms za Insurance simultenously with Insurance Policy iangaliwe upya ili kuona ni kiasi gani cha pesa kinatoka nje ya nchi through the private Insurance Coys. Ile ya Lion of Tanania Insurance Company mapato yake asilimia 100% yanapelekwa kenya kufanya investments!!! hiyo ni moja tu nafahamu je hizi nyingine ni vipi?? Jamani Tz imeshakuwa marehemu na mifupa kuifufua inahitaji so many years, yote imetokana na sera, sheria na miongozo mibovu bila kusahamu viongozi mafisadi wasiojali maslahi ya taifa hili na vizazi vyake. Anyway, tusikate tamaa. We need a saviour now!!!! Who is this??? You and me will decide!!!
 
Hii inaonyesha JK haangalii jamii inasemaje juu ya uovu wa watendaji wake

SIDHANI KAMA ANAMUDA WA KUANGALIA JAMII KWA KUZINGATIA YAFUATAYO:

namna alivyoingia madarakani:Kuna watu waliwekeza hela,nguvu na ushawishi wao katika kumuweka jk madarakani,HAO NDIO WATU ANAOPASWA KUWARUDISHIA FADHILA,na pengine kuwasikiliza zaidi.


Uwezo mdogo wa kufikiri walio nao wapiga kura waliomuweka madarakani:wapiga kura wengi wenye msimamo wa KI-PERSIMISTIC,walikuwa wanakipigia kura CHAMA,na wanapenda kiendelee bila kuangalia mfumo mzima wa uongozi kwa kigezo cha CHAMA KILITUPA UHURU,na AMANI sijui...........anyways,ukiachilia hilo,mtu anaeweza kumcontain mtu kwa kumdanganya KWA KOFIA,KANGA NA SKAFU zenye hiyo lebel,anaamini kuwa mtu anaedanganyika kwa hilo AMEPUMBAZIKA,so sio rahisi akaongoza kwa kumsikiliza,kwa sababu anajua tu muda ukifika ataenda south afrika kupress order nyingine ya vitenge,kofia na skafu.

NI MTIZAMO TU
 
Wadau Bw.Octavian Temu yuko wapi? Nadhani naye angeongezewa katika KIKOSI KAZI cha NIC....

Tutarecycle hadi lini kuna Vijana new blood wenye uchungu na nchi hii wanaweza kufanya kazi nzuri, Temu ni mmojawapo waliolipeleka shirika lilipo hoi na mradi wake wa Ubungo Plaza ukiongozwa na ufisadi mkubwa wajenzi Kharafi & sons walimkatia fungu kubwa hafai
 
If its true basi timekwisha, walilishana viapo hawa si bure "blood brothers", Mr M pamoja na mascandali yote lakini bado tu. Basi hata Lowassa turudishiwe tu.
 
Na PPF Tower ilijengwa na Murray and Roberts!!! Au nayo ni Kharafi and Sons ambao waliingia hapa Tz na kujiandikisha kama kampuni inayoshughulika na masuala ya vyakula!!! Kumbe ikawa inafanya shughuli za ujenzi for years bila hata kufuatiliwa na machinery za serikali. We are not seriuos na tutaliwa tu kila upande. Hivi siku hizi iko wapi Kharafi ans Sons?? Au baada ya kutakiwa kulipa kodi kubwa ya ujenzi walikimbia?? Hata kama walikimbia watakuwa walishavuna kupindukia toka shamba la bibi, kula machungwa bure, kula mjukuu wangu, ukivimbiwa nitakupa mzizi utatafuna, usiogope, we kula tu machungwa haya huwa hayaishi, mimi huwa sisikii njaa wala sihitaji kuuza nipate pesa, kwani babu yenu amezoea kupita kuomba na tumeridhika. Mwe shamba la bibi huyu ni cha wote.
 
Back
Top Bottom