Mattaka amfungulia Mkewe Bureau De Change Ofisi za ATCL

Uroho huo utawafanya hata hizo ndege mbovu wazisukume kwenye chuma chakavu wapate hela za supu. hawajali hao wanalindwa!!!!
 
JF,
Kama ulifuatilia kulikuwa na habari kwenye magaze wiki iliyopita, yakidai kuwa "wafanyakazi wa Air Tanzania" hawaitaki Menejimenti na wameishauri Serikali iondoe menejimenti haraka!
Wasijue kuwa hawana wadhifa wa kuiamuru Serikali wala hawajui mipango ya Serikali juhudi zao ziligonga mwamba baada ya Waziri kujibu bayana kuwa "Too early to phase out ATC's Management"
Wazushi hao walifadhaika sana na sasa wameibukia kwenye JF kumwaga uzushi wao na sumu> Hawa ni watu hatari sana, na anayetaka ukweli akaulize kama mke wa Mattaka anania ya kuanzisha Bureau De Change.
Ushauri wangu wa bure kwao inaonyesha dhahiri walivyo na chuki binafsi! Wana mufilis wa mawazo mapya na wengi wao ni wazembe walio changia kulifikisha shirika hapa lilipo! na kwamba hata ikija Menejimenti gani vigogo vizee hivyo vitaendelea kuwa kikwazo cha maendeleo ya Kampuni, wengi wao ni wazee waliokwisha kata tamaa ya kimaisha na hawana muelekeo.
Ni vyema wakaeleza ukweli watu wajue, kuliko kupotosha umma eti na Breaking News Feki" Nawashauri wajitahidi kuboresha maisha yao na kuacha kupika majungu kila ku
kicha! Tuleteeni habari zenye kina na mizania hapa ni JF bwana sio kijiwe cha wazushi wazee!!!

bila shaka umetumwa na mafisadi wenzio ila mjue watanzania wa leo si wale wa mwaka 47 so kabla amja tumaliza tuatawamaliza
 
MKUU DALLILAH
Ninachoamini kwa mola mwenyezi Mwaka sio Wenu..zamu ya walioibiwa nao kufumbuka macho zamu ya walioambukiza ukimwi kwa pesa zao kuaibika LOLIONDO
 
huyu anatakiwa kuachia ofisi yake kabla ya mrema na timu yake kumfikia.kalidhalilisha shirika na pia kadhalilisha watanzania.ngekuwa karibu ngempiga kofi babu kubwa.
 
waende LOLIONDO uko babu akihisi n mzinzi.mwizi mfi**.tapeli wa umma anakwambia weka tu hela yako magonjwa yako yanaitaj rehema kwanza..urudi tena sasa kafungiwa sijui wanaendaje
 
Mi nina machache ya uozo wa hapo

1.. Huyu CEO anayelalamikiwa,sijui kama mnajua kwamba ni class mate wa mkuu cha nchi hii kwa sasa.wamesoma darasa moja toka Tanga School mpaka UD
2..Hawa Mgt waliuza Boeing mbili za ATCL kinyemela na kukodisha moja ile iliyotulia tumbo ambayo wanadaiwa kwa sasa
3. Walipeleka wahandisi na marubani miezi 6 huko sijui Honduras eti kusimamia matengenezo ya AIRBUS A320 wakati hawako certified kwani wao wako certify kwenye ndege za Boeing.Kuhamia ndege nyingine ni mpaka ukasomee na kufaulu.mnajua rate ya pm kwa hilo kundi ?halafu mzidishe na hiyo miezi
4.Wamekodi Airbus kwa miaka 6 toka 2008 (mpk 2015) kwa mkataba wa dola 375,000 wakati kiukweli lease ya ndege hata hiyo airbus haizidi dola laki moja kwa mwezi.dola kama laki na sabini ni maganji ya watu.wangelease boeing ingewalipa kwani hata kutrain kwenda version za juu isingekuwa shida

MI HUWA NAJIULIZA HAWA UWT HUWA WANAFANYA KAZI GANI?KAZI KUTISHA VIONGOZI WA UPINZANI TU
 
MI HUWA NAJIULIZA HAWA UWT HUWA WANAFANYA KAZI GANI?KAZI KUTISHA VIONGOZI WA UPINZANI TU

amia

UBT atutaki ujinga kwenye kazi
 
JF,
Kama ulifuatilia kulikuwa na habari kwenye magaze wiki iliyopita, yakidai kuwa "wafanyakazi wa Air Tanzania" hawaitaki Menejimenti na wameishauri Serikali iondoe menejimenti haraka!
Wasijue kuwa hawana wadhifa wa kuiamuru Serikali wala hawajui mipango ya Serikali juhudi zao ziligonga mwamba baada ya Waziri kujibu bayana kuwa "Too early to phase out ATC's Management"
Wazushi hao walifadhaika sana na sasa wameibukia kwenye JF kumwaga uzushi wao na sumu> Hawa ni watu hatari sana, na anayetaka ukweli akaulize kama mke wa Mattaka anania ya kuanzisha Bureau De Change.
Ushauri wangu wa bure kwao inaonyesha dhahiri walivyo na chuki binafsi! Wana mufilis wa mawazo mapya na wengi wao ni wazembe walio changia kulifikisha shirika hapa lilipo! na kwamba hata ikija Menejimenti gani vigogo vizee hivyo vitaendelea kuwa kikwazo cha maendeleo ya Kampuni, wengi wao ni wazee waliokwisha kata tamaa ya kimaisha na hawana muelekeo.
Ni vyema wakaeleza ukweli watu wajue, kuliko kupotosha umma eti na Breaking News Feki" Nawashauri wajitahidi kuboresha maisha yao na kuacha kupika majungu kila kukicha! Tuleteeni habari zenye kina na mizania hapa ni JF bwana sio kijiwe cha wazushi wazee!!!

What!!!
Shut up your mouth.
Unataka kuniambia Mataka ni mtu safi?
Unataka kuniambia Mataka hafanyi ufisadi Atcl?
Usifikiri hatujui uozo wake, tunajua mengi anayoyafanya pale.
Na kwa taarifa yako hata zile bilions hewa zinazolipwa na atcl eti kuna ndege imekodiwa na Atcl na inafanya kazi huku Atcl ikiwa inailipa Mabilioni kila mwezi kwa kampuni hiyo tuliyokodi hiyo ndege na hali hakuna ndege iliyokodiwa ila malipo hewa tu yanafanyika.

Hilo hatujalisema bado tunavuta pumzi tuu.
 
What!!!
Shut up your mouth.
Unataka kuniambia Mataka ni mtu safi?
Unataka kuniambia Mataka hafanyi ufisadi Atcl?
Usifikiri hatujui uozo wake, tunajua mengi anayoyafanya pale.
Na kwa taarifa yako hata zile bilions hewa zinazolipwa na atcl eti kuna ndege imekodiwa na Atcl na inafanya kazi huku Atcl ikiwa inailipa Mabilioni kila mwezi kwa kampuni hiyo tuliyokodi hiyo ndege na hali hakuna ndege iliyokodiwa ila malipo hewa tu yanafanyika.

Hilo hatujalisema bado tunavuta pumzi tuu.

Hana lolote nilifikiri anapinga hoja kwa kuleta utetezi wake kumbe naye ni walewale hakuna mtu asiyejua madudu ya ATCL yanayofanyika na wakubwa wafaidika nayo ikiwa hoi wanaogopa wakiingia ubiya watakosa wanachopata
 
Waandiishi habari mnaitajika jengo la atcl now;waziri awasili mjengoni kushuhudia ujenzi
waandishi wa habari popote mlipo kuna mkutano wa hadhara muda si mrefu..na hili ni baada ya jf kutundika uhuni unaofanywa pale mjengoni atcl.waziri wa miunndo mbinu mh NUNDU amewasili hapa muda si mrefu na ameagiza kustopisha ujjenzii wa bureu de change ya mama mattaka ulioanza asbh leo na mapema kwa nguvu ya ajabu..waziri ameagiza telephone operator arejee kabla ya saa nane machana na kutak aelezwe kwaa maandishi nani alietoa kibali cha kujenga huo ujenzi....na baada ya hapo ameomba kuongea na waandishi wa habari​

Labda mwanahalisi ndio watatake risk kuandika habari kama hii. WALIOBAKIA WOTE wamenunuliwa na mafisadi na uozo kama huu hawaandiki. Chezea mafisadi.
 
ATCL wakivunja mkataba na huyo mama si watapelekwa ICC?

Haaahhhaaaa wish ingekuwa weekend kwenye kiti kirefu na laptop yangu ya kichina ......kwa maana hiyo huyu mama muhimu kuwa nae karibu anaweza kututoa kimtindo kwenye kesi maana sijawahi kuona serikai wanashindda kesi zaidi ya lowaassa kule uk
 
Hongera JF kuibua uozo huo. Kumbe siyo Makamba peke na mawaziri kibao wanapata mawazo hapa JF
 
Tunaomba picha za ujenzi, pili Mattaka na Mwenyekiti wa bodi wafunguliwe mashtaka kwa kuliua zaidi shirika la ndege. wengi tulisema hapa wakati JK amemteua Mattaka kuwa Mkurugenzi Mkuu wa ATCL, kwamba mtu ambaye alishindwa kuongoza PPF shirika ambalo hata mtu wa Form Four anaweza kuwa Mkurugenzi Mkuu kwa sababu hela inaingia tu bila kuumuza kichwa jinsi ya kupata mapato iweje akaongoze shirika ambalo lina changamoto nyingi na linahitaji mtu ambaye ana vision na action oriented kuhakikisha anakuwa na mikakti dhabiti na kweli inatekelezwa, na kuliinua shirika toka ICU.
JK ametu-let down kwa mengi sababu ya urafiki usio na tija kwa nchi
 
I SALUTE WANA-JF WAZALENDO KWA KUFICHUA MAOVU AU MAJIDUDUD YA MAFISADI KEEEP MOVING JF. NA BADO TUNAJUA WANA-JF MTAFICHUA MAMBO MENGI SANA HAKUNA KULALA MPAKA KINAELEWEKA WANA-JF TUTAJENGA NCHI KIDOGODOGO MWENDO WA KINYONGA MPAKA KINAELEWEKA.:wink2:
 
JF,
Wasijue kuwa hawana wadhifa wa kuiamuru Serikali wala hawajui mipango ya Serikali juhudi zao ziligonga mwamba baada ya Waziri kujibu bayana kuwa "Too early to phase out ATC's Management"

Tafadhali muogope Mungu; Waziri hajasema kuwa "Too early to phase out ATC's Management"
 
Back
Top Bottom