Real Masai
Senior Member
- Oct 12, 2011
- 123
- 24
Kwa ujumla siki zote Mungu ndiye anayesimamia haki.Kiwira diwani ni wa CHADEMA.Mwanza pia CHAEDEMA kidedea.Arumeru pia mambo yanaenda vizuri,.CCM wamepagawa..Mwenye matokeo ya jumla Kutoka kwenye Arumkeru atujuzuze