Hivi mpinzani wa CDM ni CUF?
Nilifikiri strategy ya CDM ni kuitoa CCM madarakani, but nashangaa now wanashindana na CUF.
Hamuoni CCM inavyozidi kuchanja mbuga.
Hongera sana CCM...imani ya watanzania na mioyo ya watanzania ipo kwa CCM pekee!
mpinzani wa CDM ni CCM
mpinzani wa ccm ni cdm
mpinzani wa cuf ni cdm
Amini usiamini!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!