TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,911
- 11,307
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, kweli kichuguu ni nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila kwaruzoNadhani CUF wameibiwa kura ila hawawezi kulalamika kutokana na makubaliano ya mwafaka.Haiwezekani CHADEMA wawashinde CUF huko visiwani, labda kama hali ya hewa imewaharibikia sana ndugu zangu wa CUF; jambo linaloweza kuwa limeisadia sana CCM