bado sana idadi ya kura hazijajulimshwa kwa kiasi cha kutosha.
bado sana idadi ya kura hazijajulimshwa kwa kiasi cha kutosha.
CDM Inaongoza kwa matokeo ambayo yameishapatikana kwa mujibu wa Mutabuzi ITVtupeni Data
Halmashauri bado kimya,,,,,,,matokeo huenda yakatangazwa kesho,,,,,
Haya, ninachokiona hapa matokeo katika vituo kadhaa vya mjini Igunga yanaonyesha CHADEMA inaongoza na hali ni shwari sasa ila viongozi wengi wa CCM wameondoka hapa mjini igunga kila ukupita mitaani sasa ni CHADEMA mwendo mdundo. Mjini ndio kuna wapiga kura wengi hapa Igunga.
CCM wamekimbia mji hoteli waliyofikia vigogo ipo kimya. Kwa sasa nasubiri vituo vya vijijini.
Other updates:
06:00 PM Misururu ya vijana imeonekana mida ya jionijioni, yawezekana idadi ya waliopiga kura ikaongezeka.
Ufoo Saro anasema DED amesema atatangaza matokeo kuanzia saa tisa to saa kumi hapa nahisi Magamba wanataka kucheza rafu hawa mijizi
U r laggard 'wait and see' ndo nyie mloliwa DECIKwani lazima wote tuwe chama cha magwanda ndio tuonekane wajanja??ni demokrasia gani mnayoililia kama mtatulazimisha wote tuwe magwanda?JF ni ya wote, si mangwanda tu, kila mtu ana uhuru wake mkuu. Au una maumoivu ya kushindwa Igunga???
Mmmh, sina uhakika kama kwenye post yangu ya msingi nimeongelea habari ya mgombea kuwa muislamu au mkristo, bali nimeongelea habari ya BAKWATA kuwazuia waumini wake kuipigia kura CHADEMA, na habari ya kwamba asilimia kubwa ya wakazi wa Igunga ni waislamuPoor analysis
Wagombea wote wa CDM na CCM wakristo na hamna muislam!
Matokeo ya awali yamewapa hamasa wana Mwanza,hapa wamama,wadada,wababa,wazeee ni pipoz pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mkuu tally yako inasemaje..?bado sana idadi ya kura hazijajulimshwa kwa kiasi cha kutosha.
hakuna matokea ya kata,matokeo ya vituo tu ndio yametoka na chadema wanaongoza,kwa mjibu wa msimamizi halijaingia saduku lolote makao makuu,kuna matokeo ya kata moja tu na hawajasema nani anaongoza.
Ndio mwanzo wa kuchakachua hapo.ITV: Hali ya hewa sio nzuri, mvua inanyesha. Hii imesababisha utoaji wa matokeo kudorora. Labda kuanzia saa tisa au kumi alfajiri ndio kazi ya kuhesabu itakamilika.
bado sana idadi ya kura hazijajulimshwa kwa kiasi cha kutosha.