Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
Niliwahi sema CDM hawawezi shinda Igunga, bado kdg tu ukweli utadhihirika
 
CCM kwisha habari: chama cha majambazi kimepigwa chin; Unaweza kuwafanya watu wajinga kwa muda tu na si wakati wote, Kigumu chama cha mafisadi down here we do say ccm manake chukua chako mapema: peoples power:Hongera wana CHADEMA
 
CUF wanatia huruma! mpaka sasa vituo vyote wana score single digit tu! hadi huruma.........
icon12.png
 
Matokeo rasmi bado vuta subira..

Presa ina panda na kusuka kwa kiwewe! Hofu ni huo mchakachuo! maana wale jamaa hawaaminiki! hutakiwi kupepesa macho. Mawakala waweke cellotape kwenye macho wasisinzie!
 
kwa mujibu wa updates nilizonazo ni kwamba uchakachuaji kwenye uchaguzi wa jimbo la igunga ni mdogo sana hivyo matokeo yatakayokuja tuyaheshimu.wand wa igunga wameamua hivyo!tuwe na subira na tuheshimu matokeo,tusonge mbele huku tukiamini change is coming!
source:secret service

Mkubwa! Waliokuhabarisha hebu waambie wakujuze kinachoendelea mpk majira haya.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom