Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,079
- 3,610
Marhabaa wajukuu zangu kwa salama zenu, nirudi kwenye mada tajwa.
Naskia sikia muda wowote kinasomeka ili sikukuuu ya Xmas mwenye kula pilau ale na mwenye kula ngarerimo ale kila mtu atakuwa na lake moyani.
Hivi Msonde anafanya nini kutucheleweshea majibu ili wajukuu wafurahi na kupata nguo za sikukuu? Necta hoye
Naskia sikia muda wowote kinasomeka ili sikukuuu ya Xmas mwenye kula pilau ale na mwenye kula ngarerimo ale kila mtu atakuwa na lake moyani.
Hivi Msonde anafanya nini kutucheleweshea majibu ili wajukuu wafurahi na kupata nguo za sikukuu? Necta hoye