Matokeo ya National Std 4 na Form 2 kutoka kabla ya Krismasi?

Rusumo one

JF-Expert Member
Oct 4, 2018
3,079
3,610
Marhabaa wajukuu zangu kwa salama zenu, nirudi kwenye mada tajwa.

Naskia sikia muda wowote kinasomeka ili sikukuuu ya Xmas mwenye kula pilau ale na mwenye kula ngarerimo ale kila mtu atakuwa na lake moyani.

Hivi Msonde anafanya nini kutucheleweshea majibu ili wajukuu wafurahi na kupata nguo za sikukuu? Necta hoye
 
Marhabaa wajukuu zangu kwa salama zenu, nirudi kwenye mada tajwa.

Naskia sikia muda wowote kinasomeka ili sikukuuu ya Xmas mwenye kula pilau ale na mwenye kula ngarerimo ale kila mtu atakuwa na lake moyani.

Hivi Msonde anafanya nini kutucheleweshea majibu ili wajukuu wafurahi na kupata nguo za sikukuu? Necta hoye
Vuta subira.

Msonde ni mtu makini sana.
 
Back
Top Bottom