Kama mada ilivohapo juu, nilianza kuumwa siku kama na nikaenda kupima majibu yakaja nina Malaria, lakini kadri nikinywa dawa nilizopewa ma kumeza ,mala mdomo na mate vikawa tasteless kila food nakiona kibaya, mwili ukaanza kuishiwa nguvu hadi sasa siwezi simama hata kwa takika 5 hivyo nikastop...
Marhabaa wajukuu zangu kwa salama zenu, nirudi kwenye mada tajwa.
Naskia sikia muda wowote kinasomeka ili sikukuuu ya Xmas mwenye kula pilau ale na mwenye kula ngarerimo ale kila mtu atakuwa na lake moyani.
Hivi Msonde anafanya nini kutucheleweshea majibu ili wajukuu wafurahi na kupata nguo za...
Upepo wa vuma twainama
Twainama hatuvunjiki
Mwalimu akisema ye hasikii
Mwenye nyimbo hii na Hadithi yake atupie hapa.
Jogoo wa ajabu..
Machaku na njiwa...
Sungura na fisi
Sitaki mbichi hizi..
Sadiki na Chitemo..
Tupia zako ..siyo tittle tuu Kama unakumbuka vizuri Ni vyema kushare nasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.