Kamatire, you are very right. Basically Seif na Karume wanakubaliana katika mambo ya Zanzibar ya kimsingi, kama vile vinavyohusu rasilimali za Zanzibar kwa ajili ya Zanzibar, Zanzibar ya Wazanzibar, kupungaza utegemezi wa Zanzaibar kwa bara, kuimarisha KMKM ili kuchukua nafasi endapo wataamua kwenda kivyao, n.k. Pia Karume anaondoka na anataka aondoke na kama CCM hawatamweka mtu anayekubalika Zanzibar kugombea basi yeye atampa shavu Seif. Zanzibar ina mambo jamani? Na mara zote wakitaka mapinduzi wanatumia mamluki hata ya 1964 hayakuongozwa na Karume na ndiyo maana si yeye wa kwanza kutangaza kuwa wamepindua serikali ya Kisultan bali yeye alitokea baadaye akawekwa kuwa rais, mambo ni mengi, historia ya Tanzania inatkiwa iandikwe upya na kwa usahihi mkubwa....
Upinzani kati ya CAF na CCM Zanzibar unaelekea kufa kama bado upo ila kinachooneka kuzaliwa ni upinzani wa Zanzibar dhidi ya Tanzania bara na matunda ya huu upinzani ni kupatikana kwa Taifa lililo huru la Zanzibar na baada ya hapo ndipo U CAF na U CCM utarudi mahala pake.
Mkuu Zitto heshima mbele,
Hapo ndo tunasema hapa kuwa upinzani mlitakiwa kuseize hii opportunity na kumobilise umma tayari kwa 2010.
wakati CCM wakiparurana huko, hapa tulitegemea alternatives kama Chadema muwe mitaani mkiwaeleza watu kinagaubaga ni nini kinaendelea nchi hii na incompetence ya huu utawala uliopo. Maana si wananchi wengi wenye access ya habari/taarifa kama ilivyo hapa JF.
Lakini, ndio kwanza Maalim yupo Ikulu anaweka mambo yake sawa na mh Karume, huku mkuu kama wewe tunayekutegemea bungeni nasikia upo Jordan kwenye mkutano, sijasikia viongozi wengine wa Chadema wanasemaje kwenye hili!
Mi nilidhani hii ni a golden window of opportunity kwa upinzani Tanzania kuonyesha makali yake!
mwanzo mzuri.labda tanganyika yetu na sisi itarudi.wacha tuje tukabane makoo wenyewe kwa wenyewe!
MKUU WALA USENDE MBALI HAYA HAPA MAKUSUDIO YA WAZANZIBAR KUUTAFUTA UMOJA KWA GHARAMA YOYOTE...NA KWA TAARIFA YAKO TU HIVI NINAVYOZUNGUMZA MAALIM SEIF....IS PRICELESS DIAMOND IF HE IS NOT A GOLD...ANALINDWA KAMA RAIS VILE......Maalim Seif Hamad Sharif hafanyi makosa kila anapolenga jambo ana kusudi fulani,Hebu someni historia yake kwanza!!Hafanyi makosa huyu mtu jamani ana malengo yake tena ya muda mrefu sana....
Heeee heeee heeh! Sidhani kama wana nia ya kumvote out! Hali hii inaonyesha kuanza kuamini kuwa hapakuwepo na mpango wa kuwaibia kura zao, kama ilivyokuwa ikitangazwa na wanasiasa wao.Kesho uboreshaji unaendelea katika Jimbo ya Wawi atokalo Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Hamad Rashid Mohamed, nitatembelea kupata fursa ya kushuhudia ongezeka hili, sambamba na kutembelea ofisi za Vitambulisho vya Ukaazi kupima short time effects za utambuzi wa Karume ulofanywa na Maalim Seif. Pia nitatafuta muda wa kujichanganya na wananchi mitaani kupima wamemkubalia Seif kwa moyo mmoja, ama wanajitokeza kwa wingi tayari kumvote out, maana Wapemba kwa Misimamo, ni kama wakazi wa Tarime.