Heshima mbele wana JF.
Nina mdogo wangu amemaliza form 4 juzi, lakini ni mmoja kati ya hao 67% waliopata Div 0, yaani ana point 34!!!!. Hii ni hatari sana kwake, hasa kwangu, maana mimi ndio nilikuwa namsomesha kuanzia form 1 na hana mtu mwingine wa kumsaidia. Matokeo ya MOCK alipata Div 2 akanipa matumaini kidogo, lakini haya ya NECTA ni balaa kubwa sana. Napata shida sana kufikiria kesho yake itakuwa vipi, hasa ukizingatia ni zile familia za wakulima haswaa.
Naombeni msaada wa Mawazo nifanye nini kumsaidia kupata kesho yake?
Nawasilisha kwa wana JF wenzangu kwa mawazo na Ushauri.
Nina mdogo wangu amemaliza form 4 juzi, lakini ni mmoja kati ya hao 67% waliopata Div 0, yaani ana point 34!!!!. Hii ni hatari sana kwake, hasa kwangu, maana mimi ndio nilikuwa namsomesha kuanzia form 1 na hana mtu mwingine wa kumsaidia. Matokeo ya MOCK alipata Div 2 akanipa matumaini kidogo, lakini haya ya NECTA ni balaa kubwa sana. Napata shida sana kufikiria kesho yake itakuwa vipi, hasa ukizingatia ni zile familia za wakulima haswaa.
Naombeni msaada wa Mawazo nifanye nini kumsaidia kupata kesho yake?
Nawasilisha kwa wana JF wenzangu kwa mawazo na Ushauri.