Matokeo ya Igunga na Maana yake Kwa CHADEMA kuelekea chaguzi nyingine

kunatoa somo kwamba tusigawe mahindi kwa wapiga kura wenye njaa wakati wa kampeni.
 
Wadau wa JF bila shaka wazima, wale wenye adha poleni sana!!!! Wale walioshabika ushindi wa chama tawala hongela sana!!!!!!
Wale wenye machungu ya kukosa walichotaraji poleni sana!!!!!!! Lakini tumejifunza nini hasa hapo Igunga, maana chaguzi bado ni nyingi hizi ndogo ndogo bila kusahau za madiwani Arusha!!!!!!!
Ndugu zangu wa chama tawala wamepata picha kuwa chaguzi zijazo tulielekea mwaka 2015 haitakuwa rahisi kama wanavyodhani, utaona kabisa kua nguvu walizotumia kwenye jimbo moja tuu la Igunga ilikuwa kubwa mno hadi inatisha!!!!!!!!! Viongozi wote wlihamia Igunga kupambana na moto wa CHADEMA!!!!!!! Hiyo inatoa picha ya chaguzi zijazo jinsi zitakavyo kuwa, watu wanazidi kuelimika pole pole!!!!
Kwa upande wa CHADEMA zilitumika mbinu mbali mbali kuweza kupata wanachama kwa muda mfupi Igunga!!!!!!! Hata hivyo nawasifu kuwa hawa jamaa wa CDM ni wapambanaji kweli kweli, si rahisi mtu uingie kwenye dimba ghafla uweze kudhihilisha umahili wako wa kucheza!!!!!!! Hongela sana wapambanaji na makamanda wa CDM!!!!!!! Je kwa pande zote mbili tumejifunza nini na tutarajie nini!!!!!!! Wadau nawakilisha!!!!!!!

Tumejifunza kwamba siasa za jazba hazina nafasi katika maisha ya leo. Mmepiga na kudhalilisha watu na zile laana sasa zimewarudia.
 
Nakumbuka sana maneno haya"......mimi tu nimepona, mimi tu kukuletea habari. Ok, afadhali umekuwa mkweli maaana kiuhalisia na kishule zaidi ni kwamba CCM hawajashinda Igunga, tofauti ya kura 2000 kwa chama kikongwe cha kijizi na dhidi ya chama kipya kabisa katika eneo hilo ni aibu
Wadau wa JF bila shaka wazima, wale wenye adha poleni sana!!!! Wale walioshabika ushindi wa chama tawala hongela sana!!!!!!
Wale wenye machungu ya kukosa walichotaraji poleni sana!!!!!!! Lakini tumejifunza nini hasa hapo Igunga, maana chaguzi bado ni nyingi hizi ndogo ndogo bila kusahau za madiwani Arusha!!!!!!!
Ndugu zangu wa chama tawala wamepata picha kuwa chaguzi zijazo tulielekea mwaka 2015 haitakuwa rahisi kama wanavyodhani, utaona kabisa kua nguvu walizotumia kwenye jimbo moja tuu la Igunga ilikuwa kubwa mno hadi inatisha!!!!!!!!! Viongozi wote wlihamia Igunga kupambana na moto wa CHADEMA!!!!!!! Hiyo inatoa picha ya chaguzi zijazo jinsi zitakavyo kuwa, watu wanazidi kuelimika pole pole!!!!
Kwa upande wa CHADEMA zilitumika mbinu mbali mbali kuweza kupata wanachama kwa muda mfupi Igunga!!!!!!! Hata hivyo nawasifu kuwa hawa jamaa wa CDM ni wapambanaji kweli kweli, si rahisi mtu uingie kwenye dimba ghafla uweze kudhihilisha umahili wako wa kucheza!!!!!!! Hongela sana wapambanaji na makamanda wa CDM!!!!!!! Je kwa pande zote mbili tumejifunza nini na tutarajie nini!!!!!!! Wadau nawakilisha!!!!!!!
 
Nakubaliana na mleta mada, wa kwanza wajaribu kupata Mwenyekiti mpya, nasema wajaribu kwa kuwa najuwa itakuwa ngumu kusambaratisha ukoo uliopo madarakani.

Huyu mbowe anawatesa sana CCM kwa sababu ni mtu asiyeyumbishwa,si mtu wa rushwa,anakula jasho la mikono yake.Ndo maana ni threat kwa CCM
 
Hata mimi nina mashaka na kura za CUF, huyu Bwn Mtatiro inabidi aje hapa jukwaani atueleze kura za mtaji 11,000 za CUF walizokuwa wanajivunia zilikwenda wapi???? Hawa CUF kweli pamoja na vitisho vya BAKWATA hawajauza kura kwa CCM???????TUJULISHENI!!!!!!!!

Aliyepata kura 23 elfu na yule aliyepata kura 2 elfu wote wameshindwa. The difference is the same!
 
Tsunami la CHADEMA si la kawaida,pamoja na kuwa Igunga yote tangu vitongoji hadi madiwani ni CCM lakini still wamepata mafuriko ya kura.
mwendao huu ni mzuri sana,wajikite sasa kusimika na kuimarisha matawi Igunga kwani kianzio ni kikubwa mno.
Ahadi nyingi za CCM Igunga hazitekelezeki kwa kipindi cha miaka 4 ukizingatia ROSTAM anatakiwa kulipwa bilion 113 za DOWANS
 
Nimefuatilia kwa makini matokeo ya uchaguzi wa Igunga wa tarehe 2/10/2011. Chadema Imeshinda, imevuna Kura 23,260 from ZERO ndani ya mwaka mmoja ikiwa Imeshindwa na CCM kwa kura 26,484 kwa margin ya kura 3224 huku kura 1185 zikiharibika kwa CHAMA ambacho uchaguzi uliopita kilikuwa hakishikiki Igunga,CCM, isitoshe wameshindana na vikwazo vingi sana katika njia ya kufikia hapo ilipofika IKIWEMO KUSHINDANA NA SERIKALI NZIMA, SERIKALI STAAFU i.e RAISI MSTAAFU N.K.

Kwa kuzingatia sapoti waliyoipata kwa wana-igunga, wakati huu wakifuatilia irregularities zilizojitokeza kipindi cha UCHAGUZI hata kama kulikuwa na wizi wa kura wasisahau HESHIMA kubwa waliyopewa na wana-Igunga. WAMEWAAMINI SANA TENA SANA SANA.

Ninachopenda kukishauri chama hiki pendwa na kilicho mioyoni mwa watanzania wengi kwa sasa, ni kuwa kuna umuhimu wa kuandaa mkutano/mikutano ya kushukuru wana-igunga kwa sapoti waliyotoa kipindi chote kabla ya kampeni, katika kampeni na kwa kuwapatia kura za kutosha 23,260.

I believe Great Thinkers,CHADEMA and all Tanzanians will support this Idea of a Freshbrain. God bless Tanzania, God bless Tanzanians and God Bless CHADEMA. Peoples' Power

CDM inafanya nini mioyoni kwa watu? kinacho hitajika ni ushindi na sii maelezo ya kwamba kipo mioyoni!! mara kina rais wa mioyoni!! atakaa huko hadi lini? anatakiwa kuwa Ikulu na sii mioyoni mwa watu!! mambo ya mikutani ya shukurani its a very poor strategy!! CDM itafute ma-strategist wazuri, sii hawa wa maandamano kila kukicha hamna jipya! Dr. Slaa, aandike maandishi watu wasome! yeye ni Phd. holder aandike vitu watu wasome hili la maandamano awaachie kina Regia Mtema. its not enough kukaa mioyoni get the hell out of there!!!!!!!!!!!!!!!

 
CDM inastahili pongezi na a big pat mgongongoni, wamefanikiwa kushusha asilimia za Magamba toka 72% OCT 2010 to 50% 2011. Tena wakiwa na silaha zote za maangamizi tangu rais mstaafu, katibu mkuu mstaafu, waziri pendwa Magufuli na bado wameshindwa kupandisha %. 2015 Ushindi ni lazima
 
Mkuu huwa sipendi kujibu hoja zako simply kwa sababu huwa unaendeshwa na ideology za kidini, but I will chip in on this one.

Mkuu naona umeingia na propaganda za CCM. CHADEMA sera zake ziko wazi kama huzipendi wewe na familia yako jiungeni na vyama vingine, lakini eti CHADEMA kufanya marketing ya ku-attract makundi ya kidini ni upuuzi ambao only desperate parties kama CCM can do. Katika historia ya nchi yetu ni chama gani kimewahi kufanya hili? Je waislamu walioko CHADEMA sasa hivi ina maana hawana ufahamu? Au hawawezi kufikiri? Acheni propaganda za kitoto!

Kumbuka CHADEMA ilikotoka slow and humbly mpaka wamefika walipo. Sasa kama siku zote wameenda mpaka kimekuwa chama kikuu cha upinzani Tanzania bila support ya makundi yeyote ya kidini iweje leo wajiingize kwenye upupu huo? Kuna kila dalili kwamba CHADEMA wanaonewa gere na kuna watu ambao they can't swallow their pride to accept how succesful this party has become. Eti leo CHADEMA ianze kufanya marketing ya ku-attract makundi ya dini, how sick and wicked this opinion is?

Na hii allegation yako "Isitoshe kujigandisha huku kwa Chadema na maaskofu kumechangia hata wale wakristo moderate, wasio na dini (mapagani) kuigopa Chadema" unaweza kui-substantiate plz?

Hivi kwa nini wewe mkuu huwa huwezi kufikiria nje ya hili box la kidini? Ok huu ni udhaifu wako sasa kwa nini unalazimisha opinions zako ziwe za jamii? Mkuu upo in recordz humu humu JF kumtukana Dr. Slaa kwamba ni padre mzinzi, hana elimu wala credible accomplishments sasa iweje leo utake kutumbukia in his bandwagon?

Kwanza,

Majibu uliomjibu Mkandara inaonyesha wewe ndugu ni mdini na unapenda kupinga kila kitu hata ukijua kuna ukweli wake. Mie sijawahi kumtukana Dr Slaa ila nimewahi kusema msibeze sana elimu yake kwani ana PhD ya Divinity (kwani huo si uongo bali ukweli) kuhusu uzinzi unalijua wewe ila mimi navyofahamu kwa mujibu wa uislamu mtu anayeishi na mwanamke kinyumba pasina kumuoa hadi akazaa naye huyo ni mzinzi. PhD ya Dr Slaa ni sawa sawa na PhD ya Professa Juma Mikidadi ambaye naye mnamwita Sheikh Ubwabwa wakati ana PhD ya Islamic studies tena Edinburg University (chuo chenye ranking kubwa kuliko cha Dr Slaa kwa ubora wa elimu) na isitoshe amepublish sana sijaona publications za Dr Slaa ukinipatia nitashukuru sana maana nitapata kujielemisha elimu haina mipaka wala mwisho. But Dr Slaa sio Chadema kwani naamini chadema ni system au ndio zile fikra za mwenyekiti zidumu??? Kama fikra zenu ndio hizi Chadema bado sana kufanikiwa kwani ninaamini Chadema wenye PhD wapo wengi tu na hivyo fikra za Dr Slaa ni mojawapo.

Kuhusu accomplishments sijui wapi nimesema hana credible accomplishment but unanishangaza sana kwani ungelipinga ninachokisema badala ya kumleta Dr Slaa ambaye hahusiki hapa. Ikiwa hamtambui kwanini mmeshindwa Igunga basi itakuwa ngumu mkafanikiwa in the future mmungu atuweke hai tutayazungumza haya 2015.
 
Kwanza kabisa naomba nieleweke kuwa siasa sio ugomvi, bali ni itikadi, ujanja na maslahi. Niwapongeze wachangiaji walio wengi humu JF kwa kulitambua hilo na kuchangia mada kwa hoja na mlengo wa kisiasa. Zaidi kwa wapenzi wa chadema wachache walionesha uelewa wa siasa pale walipochangia kwa hoja baada ya CCM kuwashinda jana Igunga.

Nije kwenye hoja yangu:CCM wanakabiliwa maamuzi rahisi tu ili kurudisha imani na usahwishi wa wananchi kwa CCM, nayo ni kutoa fursa sawa kwa wananchi wote, bila upendeleo katika kupata viongozi wao hasa katika ngazi za maamuzi. Ambao ni uhamuzi mgumu kidogo kwao maana kubwa wanalinda ni kinachowagharimu CDM sasa (kuwapa watu nafasi nyeti bila kujua nia na chimbuko lao).

Juzi kwenye uchaguzi Igunga kuna kiongozi alienda kuaongeza nguvu kwa mgombea wake, best wangu mmoja wa CDM aliniambia sasa habari imekwisha CCM tunashinda Igunga. Ulishaona wapi askari wenu vitani wana rafiki wengi na wanapata sifa nyingi kutoka upande wa askri wa adui yao kuliko ndani ya jeshi lao??? kazi ya askari hao itakuwa ni kuwagawa ili msifanikiwe vita ili waendelee kufaidi matunda ya pande zote mbili za wenye vita husika.


Nisiwachoshe:
CDM wanahitaji kufanya mamuzi magumu sasa ikiwa ni pamoja na kukubali kupoteza...iwe majimbo na hata wanachama wafuasi wa.....kama kweli wanamapambano ya dhati kutaka kushika dola. La sivyo tutaendelea kushuhudia wananchi wanao wasupport CDM wanapata matatizo na hata kupoteza uhai, na watakapogundua, ambayo ni mapema tuu CDM itakwehisha.

Source:political analyst

Hoja yako haiko wazi. Fafanua
 
Moja ya tatizo la chadema ni kukosa umakini katika kutekeleza mikakati yao waliojiwekea lakini pia wanakuwa na papara na katika kutekeleza mikakati hiyo.

wanahitaji muda katika kujifunza namna ya kutekeleza mikakati na kuwa watulivu na kupunguza jazba katia kutekeleza sera zenu.

Poleni sana

Hoja yako ni ya kijumla jumla hivyo inakosa mshiko.

Mikakati ipi wamekosa umakini?

Ni wapi wamekua na papara?
 
nakubaliana na mleta mada, wa kwanza wajaribu kupata mwenyekiti mpya, nasema wajaribu kwa kuwa najuwa itakuwa ngumu kusambaratisha ukoo uliopo madarakani.

hivi wewe mbona unachuki za kijinga na mwenyekiti wa cdm!!! Si mara moja umekuwa unatoa shutuma na kashfa zisizokuwa na msingi!!!!!!! Ulimtaka akakukataa nini??? Kuwa na fikra pevu, watanzania wanaakili, wanaona na wanajua nini kinachowafanya wakisapoti chadema. Chadema imetapakaa tanzania nzima na kinachowavutia vijana ni falsafa yake na kusimamia mambo ya msingi ya nchi hii. Mimi si mchaga na si mkristo lakini naisapoti chadema kwa sababu hakuna chama chochote kitakachotutoa hapa tulipo kutupeleka kwenye tanzania tunayoitaka zaidi ya chadema. Fanya utafiti wa kisomi, kwa taarifa yako hata kule wanakokaa maafisa wakuu wa serikali oysterbay na masaki ccm iliangukia pua kwenye uchaguzi wa mwaka jana.

Aluta continua................... Freedom is coming tommorow!!!!!!!!!!!!!!
 
nakubaliana na mleta mada, wa kwanza wajaribu kupata mwenyekiti mpya, nasema wajaribu kwa kuwa najuwa itakuwa ngumu kusambaratisha ukoo uliopo madarakani.

chadema mwaka 2000 kilikuwa hakina nguvu wala umaarufu kilionao sasa. Nguvu na umaarufu wa chadema umeanza baada ya mwaka 2005 wakati mbowe alipogombea nafasi ya urais na kutembea na helkopter nchi nzima. Hakupata tu kura za kutosha kwa sababu watanzania walikuwa kwanza hawamjui, na pili kikwete alikuwa na nyota mzuri zaidi pamoja mtandao mpana wa kumwaga fedha.

Chini ya uongozi wake chama kimepata umaarufu na nguvu ya kisiasa. Sasa unasema mwenyekiti abadilishe ili chama kiweje?.

Nadhani watu wengi watakubali mbowe ni kiongozi imara wa chadema.

Kumbuka siku hizi hata watu maarufu hapa Tanzania wanaikubali CHADEMA kuwa ni chama imara, CCM yenyewe inapata wakati mgumu sana kwa sasa. Hii yote inatokea chini ya uongozi wa sasa wa CHADEMA ukiongozwa na Mhe Mbowe kama mwenyekiti.

Wote hao akina zitto kabwe ni mbowe amewalea kwenye chama.
 
Nakubaliana na mleta mada, wa kwanza wajaribu kupata Mwenyekiti mpya, nasema wajaribu kwa kuwa najuwa itakuwa ngumu kusambaratisha ukoo uliopo madarakani.
Good God sijawahi kuona uchangiaji usio na fitina kutoka kwa huyu mama. mtoa mada was objective lakini huyu anaiharibu very sorry!!
 
ni kweli,matokeo ya uchaguzi huu yanaonyesha kuwa bado wa2 wana mapenzi na ccm,i think cdm wana jazba ktk siasa na i think kama wanataka kushika dola then they nid ppo wenye convicing power,kuprove dat ni ppoz power ya ukweee
 
Back
Top Bottom