Elections 2010 Matokeo ya awali toka Mkoa wa Mwanza

Matokeo ya awali kibaha ccm 103 Dr 75 ya urasi ...kutuka kimara makuburi Dr Slaa ana ongoza kwa zaidi ya nusu idadi kamili nitaipost soon.
 
Jamani, it is still too close to call...................I am a bit disappointed because Mwanza was supposed to be a Chadema citadel............But at least no theft, so far.........................
 
Jamani, it is still too close to call...................I am a bit disappointed because Mwanza was supposed to be a Chadema citadel............But at least no theft, so far.........................

Ruta, Dont worry hope that is out of city (sumve), labda hiyo moja ya Nyamagana, lakini expect changes
 
Jamani, it is still too close to call...................I am a bit disappointed because Mwanza was supposed to be a Chadema citadel............But at least no theft, so far.........................
Mambo bado mkuu usikate tamaa hivyo!
 
naam leo nafikiri utakuwa mwisho wa redet na synovate kuwahadaa watanzania: mwanzo mzuri!
 
Jamani, it is still too close to call...................I am a bit disappointed because Mwanza was supposed to be a Chadema citadel............But at least no theft, so far.........................

Ruta, usiogope huo ndio unaitwa uchaguzi! lazima uelewe kuwa lazima Mkwere nae atapata zake lakini mwisho wa yote atachapwa tu hana ujanja safari hii...
 
Kwa hali ninayoiona hapa kwenye jimbo la Zamani la Waziri wa magereza (mbunge mstaafu Masha-lah), naona hata yeye mwenyewe keshakata tamaa.
Ktk jimbo hili la Mnyama wa Ghana Mash-lah hana chake. lakini watu wanadai kwa kuwa sisiemu ni mabingwa wa kuchakachua lolote laweza kutokea.
wana JF mnasemaje??
 
Chadema oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Kwa hali ninayoiona hapa kwenye jimbo la Zamani la Waziri wa magereza (mbunge mstaafu Masha-lah), naona hata yeye mwenyewe keshakata tamaa.
Ktk jimbo hili la Mnyama wa Ghana Mash-lah hana chake. lakini watu wanadai kwa kuwa sisiemu ni mabingwa wa kuchakachua lolote laweza kutokea.
wana JF mnasemaje??

Only looking numbers.... please post.
 
Kwa hali ninayoiona hapa kwenye jimbo la Zamani la Waziri wa magereza (mbunge mstaafu Masha-lah), naona hata yeye mwenyewe keshakata tamaa.
Ktk jimbo hili la Mnyama wa Ghana Mash-lah hana chake. lakini watu wanadai kwa kuwa sisiemu ni mabingwa wa kuchakachua lolote laweza kutokea.
wana JF mnasemaje??

Rais wa Kenya - Kibaki angekujibu " What the hek?"

Unajaza tu space kwa kutunga thread ambayo haina habari/issue ya kujadili... sasa hapo umeandika nini kwa ugreat thinker wako??
 
Kwa hali ninayoiona hapa kwenye jimbo la Zamani la Waziri wa magereza (mbunge mstaafu Masha-lah), naona hata yeye mwenyewe keshakata tamaa.
Ktk jimbo hili la Mnyama wa Ghana Mash-lah hana chake. lakini watu wanadai kwa kuwa sisiemu ni mabingwa wa kuchakachua lolote laweza kutokea.
wana JF mnasemaje??

Kwanza leta matokeo ya kituo chako ndio tujadili....
 
ISSUE ni uchakachuaji. kama hujaelewa topic, ask for assistance. Ni mara Ngapi upinzani wamekuwa wakishinda na wapinzani wa upinzani (ccm) wakachakachua matokeo??
So you have to think and give out your views kama ikitokea wakachakachua Nyamagana itakuaje??
 
Back
Top Bottom