kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
halafu channel ten wanatangaza sehemu tu walizoongoza ccm, lakini segerea urais chadema wanaongozaVyandishi vya habari vya CH10 ni zero kabisa
halafu channel ten wanatangaza sehemu tu walizoongoza ccm, lakini segerea urais chadema wanaongozaVyandishi vya habari vya CH10 ni zero kabisa
tutapata pale matokeo yote yatakapo jumuishwa maana sasa kila mtu anaongea yake.
watu wangu,vijana wa kazi mmesahau chanel ten ni ya rostam?lazma wachakachue matokeo,hawawezi toa ya ukwel lazma waipe ccm kipau mbele. . . !
Endeleeni ku2 apdeti vijana wangu wa kazi . . . . . . !
si unaona na Dr.(Phd) wamempa 120 na 119 kwenye hivyo vituo?ni kama vile wapiga kura walikuwa walewale....Mkulima nina mashaka na matokeo hayo JK ana 150 vituo viwili?
Au ndo uchakachuaji?
Mkulima nina mashaka na matokeo hayo JK ana 150 vituo viwili?
Au ndo uchakachuaji?
Mzee huko ni kijijini mkuu, kyela mjini ndio yatakayo toa ushindi wa jumla. Kwa kijijini sio mbaya DR slaa yupo juu sana. tusuburi ya kyela mjini wakuu.hata mm nimeshtuka haya ya kupikwa nini?, look, vituo viwili JK 150 halafu kila kituo anamzidi DR Slaa kwa 30
Mkulima nina mashaka na matokeo hayo JK ana 150 vituo viwili?
Au ndo uchakachuaji?
Itunge - Kyela mjini
JK 54
Slaa 76
Community Center - Kyela mjini
JK 56
Slaa 125
Kilasilo - Kyela vijijini
JK 205
Slaa 36
Wilaya ya Rungwe kwa Mwandosya - jina la kata nimesahau
JK 206
Slaa 5
Inaelekea Kyela watakaribiana sana ila JK atashinda. Ila huko Rungwe nafikiri JK atakuwa na kura nyingi.
Matokeo ya ubunge vituo viwili vya block T - Mbeya Mjini ni
Kituo A
chadema 140,
ccm 33,
Kituo B
chadema 115,
ccm 15.
Nita-update mara nipatapo matokeo mengine.
Pia, vijana wamejitokeza kulinda kura vituoni kuhakikisha hakuna kinachoingia au kutoka.