Kisoda2
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 2,475
- 745
habari za uhakika toka mji na wilaya mpya ya tunduma ni kwamba chadema imeshinda kuanzia urais,ubunge mpaka madiwani.
kwa muda huu wananchi wanakula raha kwa kwenda mbele.
simnakumbuka alipokwenda JK walimjibu nini!! leo ndo wamekamilisha kazi. ni bear na burudani kwa sana tu.
kwa muda huu wananchi wanakula raha kwa kwenda mbele.
simnakumbuka alipokwenda JK walimjibu nini!! leo ndo wamekamilisha kazi. ni bear na burudani kwa sana tu.