Nizzo
Member
- Nov 20, 2011
- 95
- 37
wakuu heshima yenu...mdogo wangu amemaliza diploma chuo cha ushirika moshi amepta GPA ya 4.2 na ameomba kujiunga na degree hapo hapo,je matokeo yao hayajatoka mpaka leo? Nimepitia kwa website ya chuo sijaona matokeo ya walioingia kupitia diploma...msaada kwa anayejua hili... Nawasilisha.