Danos
Member
- Dec 21, 2013
- 88
- 100
Haya wale wenzangu wa UDSM especially wahandisi wa CoET , jana matokeo ya semester ya kwanza yalitolewa. Nimeshuhudia matokeo ya department ya CME yakiwa yamebandikwa na soon yatawekwa ARIS. Kiujumla matokeo sio mazuri kwani nilishuhudia watu wakishika vichwa kutokana na wengi kutiwa nyavuni(supp), wengine mpaka masomo manne(4). Daah kweli CoET si mchezo.