MatiKibokoYao: Wema rudisha pesa za nguo unazodaiwa na Manyota

Status
Not open for further replies.

warumi

R I P
May 6, 2013
16,273
18,380
Aliyekuwa shabiki namba moja wa muigizaji wema sepetu(Team wema) , matilda au maarufu kama matikibokoyao ametoboa moja ya siri ya aliyekua boss wake kuwa huwa anakopa nguo kwa mfanyabiashara maarufu mjini aitwaye manyota, hivyo amemtaka msanii huyo mpenda kick mjini aende akalipe madeni ya watu.

Akiendelea kumwaga ubuyu, Yuda huyo hakumuacha nyuma muigizaji lulu michael na kudai kuwa na yeye pia ana madeni sugu kama ilivyo kwa boss wake(Wema).

Chanzo cha bifu hicho inasemekana ni mimba aliyokua nayo staa huyo(wema) ambapo inadaiwa mfuasi wake huyo nambari moja amekua akitembeza ubuyu kwa maadui zake(wema) kuhusu ujauzito wake ambapo boss huyo aliamua kumchana live kijakazi wake huyo na kumkana hadharani kuwa hamjui.

Bifu hilo liliendelea mbele zaidi ambapo kijakazi huyo wa madame aliapa kutoboa siri kibao za boss wake huyo , hata hivyo baadae madame baada ya kuona mambo yake yanaanza kuanikwa alianza kujirudi taratibu kwa kijakazi wake huyo na kuyamaliza kiutu uzima
 

Attachments

  • 1456319328969.jpg
    1456319328969.jpg
    74.9 KB · Views: 99
Wema alisema ana nyota kali hata akiwa bibi wajukuu watapenda hadithi zake, loo hii nayo imekuwa gumzo wema kakopa wakati lulu nae amekopa.
 
Huyo Matty nae ana siri gani atakayomsema Wema hadi watu tushtuke tuseme kuwa kaaibika?? Pheeeeeeww
Hakuna ambacho Wema hajawahi kusemwa nacho.....ufuska, ushirikina na matusi kibao keshayaoga binti wa watu, hata sura yake, ngozi na umbo lake vishazodolewa mpaka basi, na upunda pia ashaambiwa........now chepi kipya???!!! Arrgh

Alafu hivi Matty ndo msemaji wa manyota au kumjua kwake Wema ndo ishakuwa nongwa....hovyooo!! Ebu na angesema basi tuone ka Wema angegeuka jinsia! Watu wanadaiwa na makampuni seuze Wema???!!!!! Aaayiiii!
 
si anajifanyaga bosslady tumuache kitu gani akalipe madeni huko
Alishawahi kuhojiwa sehemu akasema yeye ni bosslady, sisi ndo tunasema na sie ndo tunampa hayo majina, kama tunavyomuita Malaya hajawahi jipa hila jina ila kwa mitazamo ya watu wamempa jina hilo, muacheni mtoto wa watu anakopa, kukopa wanakopa matajiri kwenye Mabank itakuwa WEMA.
 
Alishawahi kuhojiwa sehemu akasema yeye ni bosslady, sisi ndo tunasema na sie ndo tunampa hayo majina, kama tunavyomuita Malaya hajawahi jipa hila jina ila kwa mitazamo ya watu wamempa jina hilo, muacheni mtoto wa watu anakopa, kukopa wanakopa matajiri kwenye Mabank itakuwa WEMA.
matajiri wanakopaga mapesa bank wana invest kwenye business zao, hawakopi nguo ili wakafanye show off instagram
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom