Math Tricks: Leo Nataka Kusoma Mawazo Yako

plan z

JF-Expert Member
Jun 10, 2019
1,381
1,414
Hi Guys!

Karibu katika Chellenge. Tutadeal na numbers only kasoro sifuri (zero). Zero (0) its nothing, kwahiyo hatutaitumia. Nitatoa challenge kama tatu hivi. Na ntasoma mawazo yenu na ntatoa jibu moja litakalokuwa common kwa wote.

NOTE: Kuna watu pia watakuwa wanajua hizi tricks, hivyo hapa tutafahamu jinsi tricks hizo zinavyofanya kazi.

CHALLENGE NO 1:
Fikiria namba isipokuwa sifuri.
Ijumlishe hiyo namba kwa yenyewe.
Jibu utakalopata lizidishe kwa 10.
Jibu utakalopata gawanya kwa namba uliyoifikiria.
Kisha jumlisha 8.
Jawabu lako la mwisho ni 28.

CHALLENGE NO 2.
Fikiria namba nyingine isipokuwa sifuri.
Ijumlishe kwa yenyewe.
Jibu utakalopata zidisha kwa 13.
Jibu utakalopata gawanya kwa namba uliyoifikiria.
Kisha jumlisha na 14.
Jibu lako la mwisho ni 40.



CHALLENGE NO 3.
Fikiria namba nyingine.
Ijumlishe kwa yenyewe.
Zidisha kwa 3 jibu ulilopata.
Gawanya kwa namba uliyoifikiria.
Jumlisha 4.
Jibu lako la mwisho ni 10.

Kumbuka kufikiria namba yoyote ile isipokuwa sifuri. Next time tutadiscuss Vortex Math na jinsi inavyofanya kazi.

Be There.
 
Kwa mtazamo wangu naona sio challenge yaani kama unazunguka halafu unarudi palepale kulingana na maelezo yako. Ni sawa na kusema hakikisha mlinganyo ufuatao 10x/5x=2
 
Hiyo ni milinganyo (Algebra) za kidato cha kwanza, hata shule ya msingi kwa mtu mdadisi kidogo analewa hizo trick!
..., kwa waliokimbia umande wa hesabu ndio watakaoona kuwa ni maajabu!
 
Hizo ni hesabu tu za kawaida
Nikajua jua labda zile challenge za ndege ilitoka ukonga saa 3:56 ikafika Ethiopia 2:56 je rubani alitumia latitudes na longitude ngapi🤣🤣🤣?
Afu calculate speed ya ndege.
 
Hizo ni hesabu tu za kawaida
Nikajua jua labda zile challenge za ndege ilitoka ukonga saa 3:56 ikafika Ethiopia 2:56 je rubani alitumia latitudes na longitude ngapi🤣🤣🤣?
Afu calculate speed ya ndege.

Hizi za speed ya ndege tutauana humu ndani
 
Niliwafanyia hizi hesabu mwaka 1999 nilipokuwa darasa la nne
Na zingine unaandika namba naruka mistari minne naandika jibu. Namba zote tutajaza katikati lazima jibu liwe niloandika
Loooong time
 
dah hizo comment hapo juu,,
Mleta mada alijiona ni bonge la genius:) kumbe kuna wazee washapiga tangu enzi za mkoloni
 
dah hizo comment hapo juu,,
Mleta mada alijiona ni bonge la genius:) kumbe kuna wazee washapiga tangu enzi za mkoloni
Hamna kitu hapo: pale anapokwambia, jumlisha kwa yenyewe, zidisha kwa kumi alafu gawanya kwa number yenyewe amekuwa amekurudisha palepale
 
Hi Guys!

Karibu katika Chellenge. Tutadeal na numbers only kasoro sifuri (zero). Zero (0) its nothing, kwahiyo hatutaitumia. Nitatoa challenge kama tatu hivi. Na ntasoma mawazo yenu na ntatoa jibu moja litakalokuwa common kwa wote.

NOTE: Kuna watu pia watakuwa wanajua hizi tricks, hivyo hapa tutafahamu jinsi tricks hizo zinavyofanya kazi.

CHALLENGE NO 1:
Fikiria namba isipokuwa sifuri.
Ijumlishe hiyo namba kwa yenyewe.
Jibu utakalopata lizidishe kwa 10.
Jibu utakalopata gawanya kwa namba uliyoifikiria.
Kisha jumlisha 8.
Jawabu lako la mwisho ni 28.

CHALLENGE NO 2.
Fikiria namba nyingine isipokuwa sifuri.
Ijumlishe kwa yenyewe.
Jibu utakalopata zidisha kwa 13.
Jibu utakalopata gawanya kwa namba uliyoifikiria.
Kisha jumlisha na 14.
Jibu lako la mwisho ni 40.



CHALLENGE NO 3.
Fikiria namba nyingine.
Ijumlishe kwa yenyewe.
Zidisha kwa 3 jibu ulilopata.
Gawanya kwa namba uliyoifikiria.
Jumlisha 4.
Jibu lako la mwisho ni 10.

Kumbuka kufikiria namba yoyote ile isipokuwa sifuri. Next time tutadiscuss Vortex Math na jinsi inavyofanya kazi.

Be There.


Jaza namba 5 chini kwenye mstari wa kwanza (1) wenye doti nyekundu, zipangane kwenye mstari na zile ambazo nimeweka mimi hapo juu. Ukimaliza kujaza, ni-TAG, halafu nitajaza mstari wa (2), halafu nami nitaku-tag, halafu utajaza mstari wa (3), na mimi nitamalizia kwa kujaza mstari wa mwisho, yaani wa nne (4). Jibu tutakalopata baada ya hapo ni LAZIMA LIWE 278562

7 8 5 6 4
............... (1)
............... (2)
................ (3)
............... (4)

JIBU: 278562


7 2 5 7 8
............... (1)
............... (2)
................ (3)
............... (4)

JIBU: 272576



3 9 4 1 9
............... (1)
............... (2)
................ (3)
............... (4)

JIBU: 239417


Hayo mafumbo yako uliyoyatoa hapo juu ni rahisi, tumeyafanya hata shule ya msingi, nawaachia wengine wahangaike nayo
 
Formula ni hii hapo . Fikiria namba X Jumlisha na nyenyewe yaani julisha na X sawa na 2X Zidisha kwa 10 yaani 2X x10 ni sawa na 20X Gawanya kwa namba uliyofikiria mwanzani yaani 20X gawanya kwa X ni sawa na 20 Jumlisha na 8 ni sawa na 28
Jaza namba 5 chini kwenye mstari wa kwanza (1) wenye doti nyekundu, zipangane kwenye mstari na zile ambazo nimeweka mimi hapo juu. Ukimaliza kujaza, ni-TAG, halafu nitajaza mstari wa (2), halafu nami nitaku-tag, halafu utajaza mstari wa (3), na mimi nitamalizia kwa kujaza mstari wa mwisho, yaani wa nne (4). Jibu tutakalopata baada ya hapo ni LAZIMA LIWE 278562

7 8 5 6 4
............... (1)
............... (2)
................ (3)
............... (4)

JIBU: 278562


7 2 5 7 8
............... (1)
............... (2)
................ (3)
............... (4)

JIBU: 272576



3 9 4 1 9
............... (1)
............... (2)
................ (3)
............... (4)

JIBU: 239417


Hayo mafumbo yako uliyoyatoa hapo juu ni rahisi, tumeyafanya hata shule ya msingi, nawaachia wengine wahangaike nayo
Formula ni hii hapa : x+x*10/x+8=28
 
[
Formula ni hii hapo . Fikiria namba X Jumlisha na nyenyewe yaani julisha na X sawa na 2X Zidisha kwa 10 yaani 2X x10 ni sawa na 20X Gawanya kwa namba uliyofikiria mwanzani yaani 20X gawanya kwa X ni sawa na 20 Jumlisha na 8 ni sawa na 28

Formula ni hii hapa : x+x*10/x+8=28
Hujajibu swali langu, umejibu la muanzisha mada!
 
Jaza namba 5 chini kwenye mstari wa kwanza (1) wenye doti nyekundu, zipangane kwenye mstari na zile ambazo nimeweka mimi hapo juu. Ukimaliza kujaza, ni-TAG, halafu nitajaza mstari wa (2), halafu nami nitaku-tag, halafu utajaza mstari wa (3), na mimi nitamalizia kwa kujaza mstari wa mwisho, yaani wa nne (4). Jibu tutakalopata baada ya hapo ni LAZIMA LIWE 278562

7 8 5 6 4
............... (1)
............... (2)
................ (3)
............... (4)

JIBU: 278562


7 2 5 7 8
............... (1)
............... (2)
................ (3)
............... (4)

JIBU: 272576



3 9 4 1 9
............... (1)
............... (2)
................ (3)
............... (4)

JIBU: 239417


Hayo mafumbo yako uliyoyatoa hapo juu ni rahisi, tumeyafanya hata shule ya msingi, nawaachia wengine wahangaike nayo
87654
 
Back
Top Bottom