Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
jk ana desturi ya kuwaona wagonjwa, lakini wengi wa anawatembelea hospitali na kupiga nao picha hufa.
Coincidence au tambiko!
khaaaaaaaa
jk ana desturi ya kuwaona wagonjwa, lakini wengi wa anawatembelea hospitali na kupiga nao picha hufa.
Coincidence au tambiko!
ni kweli anahitaji msaada... Je ww erick joseph umemsaidiaje?Mchekeshaji marufu wa vichekesho nchini wa kundi la zecomedy ambaye anasumbuliwa na ugonjwa unaodaiwa kushambulia sehemu za kichwa.unaomtesa mpaka sasa baada ya kuka chumba cha ICU takribani miezi miwili afya yake imezolota sana tunaiomba serikali imuangalia nae aende nchini india akapate matibabu.je nani hajui mchango wake katika nchi hii
umejuaje??acha ujinga wako kutuletea humu ndani.
nyani haoni ....ndule.acha ujinga wako!!!!!!!
Hapo alikuwa anapita tu kwenda kumuangalia jamaa yake mwingine. Jamaa wakamtonya..."yule kijana anayefanya the O.K naye yuko hapa" akasema... "oh! ngoja na yeye nimsalimie....ndio wapiga kura wetu hawa"..tehetehee
Ulikuwa unasoma ukiwa guest hse?Totos alikuwa anafanya mini.lugha gongana
Bosi wao Manji hayupo?