analysti
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 729
- 612
this is an inflammation of layerz covering the brain.it can be bacterial,viral or fungal. Cjapata data ana infection iliyosababishwa na nini
Meningitis
Meningitis ni uvimbe wa bongo. Kuvimba huku kunasababishwa na virusi, au bakteria au hata pia kutumia dawa fulani. Meningitis ni maradhi yanayoweza kuuwa kwa ajili ya kuwa uvimbe huu hufanyika karibu na bongo; kwa hivyo ugonjwa huu ni dharura umwone daktari.Dalili kuu za ugonjwa huu ni kuumwa na kichwa na shingo, pamoja na homa na kuchanganyikiwa kwa akili, kutapika na kutoweza kustahamili mwangaza na kelele.
Dalili
Sababu
- Kichwa kuuma sana
- Kutokuwa na akili timamu, hii hutokea kwa takriban asilimia 44 ya wagonjwa.
- Kutoweza kustahamili mwangaza na kelele.
- Uvimbe juu ya kichwa hufanyika kwa watoto wa umri wa chini ya miezi sita.
- Dalili zingine zinazopatikana kwa watoto ni kuumwa kwa miguu, kuhisi baridi kali na ngozi kugeuka rangi.
Kwa watoto wenye umri wa chini ya miezi mitatu, ugonjwa huu husababishwa na group B streptococcus. Wengine ambao hukaa kwenye matumbo ya binadamu ni kama Escherichia coli
Virusi
Virusi vinavyosababisha Meningitis ni kama enterovirus, herpes simplex virus type 2, varicella zoster virus, herpes zoster, mumps, HIV, na Lymphocytic choriomeningitis.
Meningitis pia huweza kusababishwa na kuenea kwa saratani hadi kwenye ubongo.
Kukinga
Meningitis hukingwa kwa kutumia chanjo. Katika nchi nyingi, watoto wengi hupewa chanjo ya kuzuia Haemophilus influenzae ambayo huondoa bakteria hawa kwa miili ya watoto. Hata hivyo, chanjo hii ni ghali.
Chanjo ya Bacillus Calmette-Guérin imeonyesha kupunguza kiwango cha ugonjwa huu kuenea.
Dawa zinazotumika kuzuia ni kama rifampicin, ciprofloxacin au ceftriaxone.
I know all those stuffs, I just want to know the underlying cause of his meningitis!!