mlavet
Member
- Oct 23, 2013
- 22
- 3
Je ni kweli kwamba serekali imewashindwa hawa watu je sio miongoni mwa raia wa tz kwa nini waishi watakavyo wanatuibia stand kuchana mabegi wanatumia silaha ya nyembe kudhuru wengine kwa nini wasipelekwe Mahali wakapata ujuzi na kuajiriwa je serekali ingekosa mapato na rasimali watu hii isingepotea tuuu na kuleta madhara