CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
GREAT THINKER VIPI HAYA MATATIZO TUMEISHA YAPATIA UFUMBUZI? AU NA SISI NI SEHEMU YA MATATIZO?
Hili jukwa limekuwa na Watu wanatoa michango mbalimbali na watu wanakuja na Aidea zilizo enda shule na kuna watu ambao kupitia jamii forum wameisha anza miradi yao na wengine wako kwenye PROCESS.
-KUNA MATATIZO MENGI SANA YANAYO KABIRI SECTA NYINGI SANA HAPA TANZANIA NA BAADHI YA SEKITA HIZO NI
1. Kilimo
- Hapa kuna matatizo mengi sana kama vile
a. Upatikanaji wa pembejeo
b. Elimu bora ya kilimo
3. Mitaji ya kuwekeza kwenye kilimo
4. Masoko ya mazao ya kilimo
5. Uongezaji wa thamani wa mazao yetu/kusindika
A. UPATIKANAJI WA PEMBEJEO
Hili ni tatizo kubwa sana na wakulima wengi wanashindwa kumudu au kupa pembejeo za kilimo kama vile, mbolea, madawa, matrecta, vifaa vya kuvunia na kuhifadhia mazao na kadhalika
- Serikali imekuwa inaiimba sana kuhusu hili, na mpaka sasa hakuna suluhisho lilio patikana make kuna matrekta still yanauzwa bei kubwa sana na mbo;ea ndo usiseme kabisa, na nchi yetu ni ya wakulima
SWALI KWA GREAT
1. Je ni wangapi sisi tumegenerate aidea ya kutatua Taizo hili la pembejeo hasa, mbolea na matrekata. pamoja na madawa ya kilimo?
2. Je tumeisha pata suluhisho la angalau kupunguza haya matatizo? au na sisi ni sehemu ya kulaumu Serikali kwamba ifanye hivyo?
B. ELIMU YA KILIMO BORA
Hili nalo ni Tatizo kubwa sana na kuna Vyuo vya kutoa elimu ya Kilimo Bora ila ni wachache wanao weza pata elimu na lazima uwe na pesa za kutosha kuweza kupata elimu hii, na kwa walio vijijini ni shida zaidi,
SWALI
1. Je tumeisha kuja na wazo la kutatua tatizo hili ka Elimu ya Kilimo cha biashara?
2. Au na sisi tumejiunga kulalamikia serikali kwamba hakuna Elimu ya kutosha kuhusu kilimo Bora?
C. MITAJI YA KUWEKEZA KWENYE KILIMO
Hili laweza kuwa Tatizo kuu kabisa, watu wengi tunashindwa kulima kwa sababu ya mitaji, huko vijijini watu wanamashamba ekari na ekeari lakini wanashindwa kulima kwa sababu ya kukosa mitaji ya kuwekeza huko.
- Benki zetu nd tusha piga kelele hadi tukachoka, Serikali mpaka leo na kesho haina majibu ya wpai watu wapate mitaji ya kuwekeza kwenye kilimo
- Hata mitaji ikipatikana nina uhakika haitatoshereza kwani watanzania wanao hitaji mikopo ya kilimo ni wengi sana
SWALI HAPA
1. Je tumeisha kuja na mbinu mbadala kama wasomi wa Nchi hii kumaliza kutatua Tatizo la Mitaji ya Kilimo hapa Tanzania?
2. Kuna walio kuja na wazo hilo?atujuze basi wamefikia wapi,
3. Au na sisi ni sehemu ya kuto jua nini kifanyike? Na sisi tuko kundi la kusubiria siku isiyo julikana ambayo serikali italeta mikopo?
D. MASOKO YA MAZAO YA KILIMO
- Tumekuwa tukishuhudia mahindi, pamba, kahawa, Maharage, Ndizi, Vitunguu, Mchele, Matunda na kazalika vikikosa masoko na kuishia kuozea chini au mazo hayo yakiuzwa kwa hasara kubwa sana
- Mahindi yamekuwa yakipelekwa Kenya na kenya wao wanasindika na kuza nchi za nje na hata kuuzia mashirika ya Misaada.
- Na tumekuwa tukijisifu sana kwa kuuza mahindi kenya, inagawa ukweli ni kwamba pale hatufaidi choacote
- Mazo ya biashara hayana masoko kabisa, tunabaki kuashumu kwamba ngoja tulime tu watakuja kununua, tumebakia kupeana noyo kwamba mwakani bei itakuwa nzuri bila hata kuwa na mikataba na hao wa nunuzi, je wakikataa kununua hayo mazao itakuwaje?
- Matunda hayana masoko kabisa, kule Tanga machungwa hufikia kuuzwa ka mafungu, Kule Tabora maembe huishia kuozea kwenye miti, Ndizi kule Bukoba, Mbeya na Arusha na Kilimanjaro ni hivyo hivyo.
- Mpaka sasa hakuna masoko ya uhakika zaidi ya wahun wano kuja mitaani na kuwaibia wakulima kwa kununua kwa bei ya chini kabisa,
- Na hata kama wapo si wauhakika ni wanao kuja leo na kesho wanapotea,
- Serikali bado inaendeleza Sarakasi zake tu, hakuna suluhisho la hili zaidi ya kuwepo Bodi za Mazao kama Pamba, Hizi Bodi hupanga bei kana kwamba wao ndo walikuwa wanalima sasa wanajua ghalama alizotumia mkulima
SWALI
1. Je mpaka sasa kuna tulio kuja na suluhisho la haya matatizo makubwa kabisa ya masoko?
2. Tusha kuja na mawazo ya kutatua matatizo ya masoko ya kilimo
3. Au na sisi ni miongoni mwa tusio jua tutauza wapi ila tunapeana moyo tu kwamba wanunuzi watapatikana?
E. KUONGEZA THAMANI/KUSINDIKA
- Asilimia 60 ya matatizo ya kilmo chetu yanaweza malizwa na hapa kwenye kusindika
1, Masoko hakuna kwa sababu hatusindiki mazo yetu
2. Tunashindwa kulima kisasa kwa sababu hatujui tuuze wapi mazo yetu na tusha kata tamaa ya kulima ila tungekuwa tunasindika ingekuwa simple sana
- Hapa ndo shida kuu ya Kilimo cha Watanzania ilipo
a. ,MAHINDI- Hapa tunategemea viwanda visivyo pungua 4 visindike mazo ya mahindi, wakati nchi ambzao hazina mashamba mengi kama sisi kuna viwanda vya kutosha
- Hapa ni lazima mahindi yaoze kule Songea kwa sababu hatuna viwanda vya kusindika na kuongeza thamani.
- Tunawauzia wakenya wasindike mahindi na warudi kutuuzia, unga na pumba
- Kuna kampuni moja huku Arusha ni ya kutoka kenya wanauza Pumba za ngombe na kuku na ukijaribu
kuchunguza walinunua mahindi hukuhuku kwetu na kuyasindika na kuridi kutuuzia pumba kwa bei ghali
- Sisi tunaona sifa sana kuuza malighafi nje ya nchi theni inarudishwa kama bidhaa tena kwa bei ya juu sana
b. Matunda
- Hapa hatuongezi thamani na badala yake kule Tanga Fuso zinatoka kenya zinaingia shambani zinachuma na kupeleka kenya kusindika theni wanakuja kutuuzi juice tena ile freshi inauzwa mbali sana sisi tunauziwa frever tu
Huwa tunafurahi sana kuuza matunda kwenye fuso, hapa kipimo si mizani tena kipimo ni FUSO MPAKA IJAE
KWA KIFUPI TUNAPOTEZA PESA NYINGI SANA KWA KUUZA MALIGHAFI NJE WAKUU, NA NCHI KAMA CHINA IMEPIGA HATUA SI KWA KUUZA MALIGHAFI BALI BIDHAA
MASWALI HAPA
1; Je tumeisha kuja na mawazo ya kumaliza kabisa hili tatizo?
2. Tumeisha anzisha viwanda vya kusindika ili tuwakomboe watanzania wengi wanao lima na hata kuwapa ajira wengine?
3. Au na sisi hatujui tufanyeje na badala yake tunajiandaa kuuza mahindi kenya pamoja na machungwa kweny fuso?
4. Tunasubiria serikali itujengee viwanda vya kusindika mazao? Je kuna mwenye taarifa ni lini wataanza kejenga?
WAKUU KWA KIFUPI NI KWAMBA KWA KWELI TUNACHEZA SANA NA BILA MAPINDUZI TUTAKUWA NA SISI NI SEHEMU YAMATATIZO YA WAKULIMA WENGI SANA.
HUWA NAPITIA SANA FORUM ZA WAJASIRIMALI ZA NCHI NYINGI SANA KAMA INDIA, PHILIPINE, MALASIA, INDONESI, NIGERIA, GHANA,SOUTH AFRICA NA KAZALIKA, HAWA JAMAA MAWAZO YAO SI YA MCHEZO KABISA WAKO SIRIAZI 100%
SISI HUKU HATUKO SIRIAZI KABISA UTANI NA MIZAHA NI MINGI SANA, WATU TUNAKUJA NA AIDEA AMBAZO KWA KWELI HAZIWEZI KULIKOMBOA TAIFA BALI KUMKOMBOA MTU MMOJA TU,
TUNAHITAJI MAPINDUZI MAKUBWA NA NI BORA TUKAANZA SISI KUFANYA MAPINDUZI MAKUBWA NA YANAYO ONEKANA KWA MACHO NA SI MAPUNDUZI YA POROJO WAKUU
TUSIWE SEHEMU YA KULALAMIKA KWA SABABU VIJANA WA NCHI ZINGINE WALISHA ONA HATA WAKILIA HAITASAIDIA KITU BALI NI WAO KUINGIA NA KUFAITI KIVYAO, SERIKALI INAMAMBO MENGI SANA WAKUU,
Hili jukwa limekuwa na Watu wanatoa michango mbalimbali na watu wanakuja na Aidea zilizo enda shule na kuna watu ambao kupitia jamii forum wameisha anza miradi yao na wengine wako kwenye PROCESS.
-KUNA MATATIZO MENGI SANA YANAYO KABIRI SECTA NYINGI SANA HAPA TANZANIA NA BAADHI YA SEKITA HIZO NI
1. Kilimo
- Hapa kuna matatizo mengi sana kama vile
a. Upatikanaji wa pembejeo
b. Elimu bora ya kilimo
3. Mitaji ya kuwekeza kwenye kilimo
4. Masoko ya mazao ya kilimo
5. Uongezaji wa thamani wa mazao yetu/kusindika
A. UPATIKANAJI WA PEMBEJEO
Hili ni tatizo kubwa sana na wakulima wengi wanashindwa kumudu au kupa pembejeo za kilimo kama vile, mbolea, madawa, matrecta, vifaa vya kuvunia na kuhifadhia mazao na kadhalika
- Serikali imekuwa inaiimba sana kuhusu hili, na mpaka sasa hakuna suluhisho lilio patikana make kuna matrekta still yanauzwa bei kubwa sana na mbo;ea ndo usiseme kabisa, na nchi yetu ni ya wakulima
SWALI KWA GREAT
1. Je ni wangapi sisi tumegenerate aidea ya kutatua Taizo hili la pembejeo hasa, mbolea na matrekata. pamoja na madawa ya kilimo?
2. Je tumeisha pata suluhisho la angalau kupunguza haya matatizo? au na sisi ni sehemu ya kulaumu Serikali kwamba ifanye hivyo?
B. ELIMU YA KILIMO BORA
Hili nalo ni Tatizo kubwa sana na kuna Vyuo vya kutoa elimu ya Kilimo Bora ila ni wachache wanao weza pata elimu na lazima uwe na pesa za kutosha kuweza kupata elimu hii, na kwa walio vijijini ni shida zaidi,
SWALI
1. Je tumeisha kuja na wazo la kutatua tatizo hili ka Elimu ya Kilimo cha biashara?
2. Au na sisi tumejiunga kulalamikia serikali kwamba hakuna Elimu ya kutosha kuhusu kilimo Bora?
C. MITAJI YA KUWEKEZA KWENYE KILIMO
Hili laweza kuwa Tatizo kuu kabisa, watu wengi tunashindwa kulima kwa sababu ya mitaji, huko vijijini watu wanamashamba ekari na ekeari lakini wanashindwa kulima kwa sababu ya kukosa mitaji ya kuwekeza huko.
- Benki zetu nd tusha piga kelele hadi tukachoka, Serikali mpaka leo na kesho haina majibu ya wpai watu wapate mitaji ya kuwekeza kwenye kilimo
- Hata mitaji ikipatikana nina uhakika haitatoshereza kwani watanzania wanao hitaji mikopo ya kilimo ni wengi sana
SWALI HAPA
1. Je tumeisha kuja na mbinu mbadala kama wasomi wa Nchi hii kumaliza kutatua Tatizo la Mitaji ya Kilimo hapa Tanzania?
2. Kuna walio kuja na wazo hilo?atujuze basi wamefikia wapi,
3. Au na sisi ni sehemu ya kuto jua nini kifanyike? Na sisi tuko kundi la kusubiria siku isiyo julikana ambayo serikali italeta mikopo?
D. MASOKO YA MAZAO YA KILIMO
- Tumekuwa tukishuhudia mahindi, pamba, kahawa, Maharage, Ndizi, Vitunguu, Mchele, Matunda na kazalika vikikosa masoko na kuishia kuozea chini au mazo hayo yakiuzwa kwa hasara kubwa sana
- Mahindi yamekuwa yakipelekwa Kenya na kenya wao wanasindika na kuza nchi za nje na hata kuuzia mashirika ya Misaada.
- Na tumekuwa tukijisifu sana kwa kuuza mahindi kenya, inagawa ukweli ni kwamba pale hatufaidi choacote
- Mazo ya biashara hayana masoko kabisa, tunabaki kuashumu kwamba ngoja tulime tu watakuja kununua, tumebakia kupeana noyo kwamba mwakani bei itakuwa nzuri bila hata kuwa na mikataba na hao wa nunuzi, je wakikataa kununua hayo mazao itakuwaje?
- Matunda hayana masoko kabisa, kule Tanga machungwa hufikia kuuzwa ka mafungu, Kule Tabora maembe huishia kuozea kwenye miti, Ndizi kule Bukoba, Mbeya na Arusha na Kilimanjaro ni hivyo hivyo.
- Mpaka sasa hakuna masoko ya uhakika zaidi ya wahun wano kuja mitaani na kuwaibia wakulima kwa kununua kwa bei ya chini kabisa,
- Na hata kama wapo si wauhakika ni wanao kuja leo na kesho wanapotea,
- Serikali bado inaendeleza Sarakasi zake tu, hakuna suluhisho la hili zaidi ya kuwepo Bodi za Mazao kama Pamba, Hizi Bodi hupanga bei kana kwamba wao ndo walikuwa wanalima sasa wanajua ghalama alizotumia mkulima
SWALI
1. Je mpaka sasa kuna tulio kuja na suluhisho la haya matatizo makubwa kabisa ya masoko?
2. Tusha kuja na mawazo ya kutatua matatizo ya masoko ya kilimo
3. Au na sisi ni miongoni mwa tusio jua tutauza wapi ila tunapeana moyo tu kwamba wanunuzi watapatikana?
E. KUONGEZA THAMANI/KUSINDIKA
- Asilimia 60 ya matatizo ya kilmo chetu yanaweza malizwa na hapa kwenye kusindika
1, Masoko hakuna kwa sababu hatusindiki mazo yetu
2. Tunashindwa kulima kisasa kwa sababu hatujui tuuze wapi mazo yetu na tusha kata tamaa ya kulima ila tungekuwa tunasindika ingekuwa simple sana
- Hapa ndo shida kuu ya Kilimo cha Watanzania ilipo
a. ,MAHINDI- Hapa tunategemea viwanda visivyo pungua 4 visindike mazo ya mahindi, wakati nchi ambzao hazina mashamba mengi kama sisi kuna viwanda vya kutosha
- Hapa ni lazima mahindi yaoze kule Songea kwa sababu hatuna viwanda vya kusindika na kuongeza thamani.
- Tunawauzia wakenya wasindike mahindi na warudi kutuuzia, unga na pumba
- Kuna kampuni moja huku Arusha ni ya kutoka kenya wanauza Pumba za ngombe na kuku na ukijaribu
kuchunguza walinunua mahindi hukuhuku kwetu na kuyasindika na kuridi kutuuzia pumba kwa bei ghali
- Sisi tunaona sifa sana kuuza malighafi nje ya nchi theni inarudishwa kama bidhaa tena kwa bei ya juu sana
b. Matunda
- Hapa hatuongezi thamani na badala yake kule Tanga Fuso zinatoka kenya zinaingia shambani zinachuma na kupeleka kenya kusindika theni wanakuja kutuuzi juice tena ile freshi inauzwa mbali sana sisi tunauziwa frever tu
Huwa tunafurahi sana kuuza matunda kwenye fuso, hapa kipimo si mizani tena kipimo ni FUSO MPAKA IJAE
KWA KIFUPI TUNAPOTEZA PESA NYINGI SANA KWA KUUZA MALIGHAFI NJE WAKUU, NA NCHI KAMA CHINA IMEPIGA HATUA SI KWA KUUZA MALIGHAFI BALI BIDHAA
MASWALI HAPA
1; Je tumeisha kuja na mawazo ya kumaliza kabisa hili tatizo?
2. Tumeisha anzisha viwanda vya kusindika ili tuwakomboe watanzania wengi wanao lima na hata kuwapa ajira wengine?
3. Au na sisi hatujui tufanyeje na badala yake tunajiandaa kuuza mahindi kenya pamoja na machungwa kweny fuso?
4. Tunasubiria serikali itujengee viwanda vya kusindika mazao? Je kuna mwenye taarifa ni lini wataanza kejenga?
WAKUU KWA KIFUPI NI KWAMBA KWA KWELI TUNACHEZA SANA NA BILA MAPINDUZI TUTAKUWA NA SISI NI SEHEMU YAMATATIZO YA WAKULIMA WENGI SANA.
HUWA NAPITIA SANA FORUM ZA WAJASIRIMALI ZA NCHI NYINGI SANA KAMA INDIA, PHILIPINE, MALASIA, INDONESI, NIGERIA, GHANA,SOUTH AFRICA NA KAZALIKA, HAWA JAMAA MAWAZO YAO SI YA MCHEZO KABISA WAKO SIRIAZI 100%
SISI HUKU HATUKO SIRIAZI KABISA UTANI NA MIZAHA NI MINGI SANA, WATU TUNAKUJA NA AIDEA AMBAZO KWA KWELI HAZIWEZI KULIKOMBOA TAIFA BALI KUMKOMBOA MTU MMOJA TU,
TUNAHITAJI MAPINDUZI MAKUBWA NA NI BORA TUKAANZA SISI KUFANYA MAPINDUZI MAKUBWA NA YANAYO ONEKANA KWA MACHO NA SI MAPUNDUZI YA POROJO WAKUU
TUSIWE SEHEMU YA KULALAMIKA KWA SABABU VIJANA WA NCHI ZINGINE WALISHA ONA HATA WAKILIA HAITASAIDIA KITU BALI NI WAO KUINGIA NA KUFAITI KIVYAO, SERIKALI INAMAMBO MENGI SANA WAKUU,