misskijiji
Member
- Feb 23, 2023
- 27
- 72
Wana wa Mungu Habari ya Asubuhi.
Katika kujikwamua na maisha, Dada yenu nimeendelea kupambana na Kilimo cha Mahindi na Nyanya hapa Ilula mkoani Iringa kwa kukodi mashamba kwa Bei rafiki.
Naomba kufahamishwa kwa anayejua Taasisi au Benki zinazotoa mikopo kwa wakulima wadogo wadogo kama mimi kwa kutegemea malipo baada ya mazao kukomaa na kuuza.
Asanteni na Mbarikiwe.
Asubuhi njema.
Katika kujikwamua na maisha, Dada yenu nimeendelea kupambana na Kilimo cha Mahindi na Nyanya hapa Ilula mkoani Iringa kwa kukodi mashamba kwa Bei rafiki.
Naomba kufahamishwa kwa anayejua Taasisi au Benki zinazotoa mikopo kwa wakulima wadogo wadogo kama mimi kwa kutegemea malipo baada ya mazao kukomaa na kuuza.
Asanteni na Mbarikiwe.
Asubuhi njema.