funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
Ndugu zangu wana JF na umma kwa ujumla tujiadhari na kujikinga na gonjwa ili la UKIMWI dawa iliyopatikana bado inafanyiwa uchunguzi kabla ya kuthibitishwa na WHO kuwa inatibu ili gonjwa. Kwa hiyo inaweza kupitishwa au kutopitishwa
Usipojijali na kujikinga utawakosea wengi sana. MUNGU wako aliyekupa uhai ambao ukitoka haurudi, familia yako uliyoapa kuilinda na kuiendeleza, marafiki zako ambao watakumiss usipokuwepo, taaluma yako uliotumia muda mwingi na fedha nyingi kuipata na kwa UMMA wote unaotegemea huduma yako na uwepo wako katika kuliendeleza Taifa letu la TZ
JIHADHALI NA UJIKINGE
By Funzadume
Usipojijali na kujikinga utawakosea wengi sana. MUNGU wako aliyekupa uhai ambao ukitoka haurudi, familia yako uliyoapa kuilinda na kuiendeleza, marafiki zako ambao watakumiss usipokuwepo, taaluma yako uliotumia muda mwingi na fedha nyingi kuipata na kwa UMMA wote unaotegemea huduma yako na uwepo wako katika kuliendeleza Taifa letu la TZ
JIHADHALI NA UJIKINGE
By Funzadume