Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,354
Uliacha au uliachwa?nilipima mara kumi nikajikuta nipo fit,
niliwaacha sita
niliacha baada ya kuona ukimwi hauna dawa,
kwa sasa sina hamu kabisa, napenda sana kaufanya mazoezi, kujichanganya na mashosti maisha yanakwenda au sio
Sita tu? Kumbe we bado mtoto mdogo...