Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Ninakubaliana na wewe. Muda mwingi kwenye ofisi za serikali unatumika kujadili mustakabali wa nchi yetu. Wengi wana hamu 2015 ifike mapema ili uongozi uliopo uondoke. Kwa ujumla, watanzania wengi wamekata tamaa.