Nani alikwambia jiwe usafishwa kwa maji likatakata? ukidhani natania chukua maji lita milioni 4 safisha jiwe uone kama litatakata! Ndivyo walivyo wahadhili wa kiislamu awe wa chekechea au chuo kikubwa (sio kikuu) hawasaidiwi kwa elimu ya darasani. Ndio sababu tuna wakina Kikwete kwenye game!
Kusema kweli pamoja na yote nilitegemea tamko la waislaam angalau lilaani yale mauaji ya Arusha bila kujali nani kafa, nani katoa tamko gani na chama gani wanakipenda. NO. Hawakufanya hivyo kwa maana nyingine mtizamo wao kuhusu vifo vya Arusha ni sawa na Yusuf Makamba! Baada ya kulaani wangeendelea na mambo yao mengine ya kuwashutumu maaskofu wapendavyo ingawa kwa mtizamo wango msimamo wa maaskofu ni sawa kabisa. Maaskofu ni raia kama watu wengine ni wapiga kura. Wao kama wapiga kura wana haki ya kusema uchaguzi na mchakato mzima wa U-meya Arusha ni batili. Kwa nini wasiseme kama wapiga kura?
Pili ili la kumlaumu Pinda na Malecela ni "wivu tu wa kike". Serikali inajua ni nini kilitokea kule Sumbawanga na ndio maana ikatambua makosa na kuomba radhi. Mary Chitanda ni mtoto mtukutu ambaye lazima akaripiwe. Sasa nini kinawakera Maimamu. Kama nao wana manunguniko dhidi ya serikali watoe hoja nzito watasikilizwa sio mihadhara ya matusi na kejeli.
Shule na Hospitali ni pesa zetu wenyewe. By the way waislam ni matajiri sana. Kwa nini hawapendi kushirikiana katika vitu vya maendeleo? Juzi tulishuudia ngumi pale Mwenye kwa kugombania msikiti! Sio hapa Tanzania peke yake na Uganda hivyo hivyo! What do you expect?
...wajumbe hao (wakiwemo maprofesa) walitoa shutuma kali kwa viongozi wa kanisa hasa kanisa katoliki wakidai kuwa kanisa ndiyo linaendesha serikali na kwamba serikali inafuata maagizo ya kanisa...
Unajuwa fedha na mali zoootee zilizopo hapa duniani tukigawana sawa kwa sawa kila mtu................Baada ya MUDA MFUPI tu zitarudi kwa wale wale wenye kujuwa jinsi ya kucheza nazo...............Kuhusu wabunge kuwa wengi wakristu. Nashauri vianzishwe viti maalum vya waislam maana wako nyumba sana kama....****ban***.
Kuhusu kugawana nchi nashauri igawanywe fasta halafu sisi wakristu tutajenga ukuta mkubwa kuliko ule waisrael waliowajengea wapalestina. Ukuta huu ni muhimu maana nchi watakayopewa hawa waislam na maprofesor wao hao wa morogoro haitatawalika wala haitakuwa na maendeleo yoyote. Sana sana itakuwa somalia,yemen au hata afghan nyingine. Hivyo nashauri kura ya maoni ipigwe upesi na waislam wepewe maeneo yenye rasilimali nyingi. Baada ya muda utaona ni watu gani watatamani kwenda nchi ya wenzao!