Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Hii ni homerowk unaweza kufanya kama classwork
unaruhusiwa kutumia calculator na vyanzo vingie kupata majibu
- Tanzania ina wizara ngapi?
- Kila wizara ina wastani wa Idara ngapi. Watsani?
- Kila idara ya wizara x ya serikali ikichangia milioni 50 kufanikisha "mawasilino" ya kupitisha bajeti ni wastani wa shilingi ngapi kila wizara inatumia kufanikisha "mawasiliano" ya bajeti?
- Je bajeti ya serikali nzima inatumia shilingi ngapi kwa ajili ya "mawasiliano" haya?
- Kwa kuwa wabunge wanahitaji mawasialiano nje ya mfumo wa bunge ili kuelewa bajeti unapendekza serikali ifanye nini ili "mawasilano" haya pia yatumike kwa wananchi. Itenge shilingi ngapi kuwasiliana na wanachi.
unaruhusiwa kutumia calculator na vyanzo vingie kupata majibu